Kaninyanyasa kijinsia nawezaje kumshtaki?

Kaninyanyasa kijinsia nawezaje kumshtaki?

Hivi kwanini watu mnapost pumba Sana Mambo ambayo hayana Maadili ,lengo kuhakikisha mnaifanya JF kama Sehemu ya ovyo

Huu Muda watu tunasikiliza nyimbo ya Roma "nipeni maua nyangu"
 
Ukienda kulalamika we mwenyewe utafunguliwa kesi moja inaitwa "Kuishi kwa kufanya umalaya"
Andaa kabisa wadhamini wakakuwekee dhamana mahakama ya mwanzo
 
Naombeni kufaham utaratibu please isije niletea shida baadaye kwenye ndoa yangu.
Wanawake Qmanyoko yaan unauza Bei nafuu, hii ilibidi uweke kule jukwaa la biashara na matangazo MADOGO MADOGO
 
Ukienda kulalamika we mwenyewe utafunguliwa kesi moja inaitwa "Kuishi kwa kufanya umalaya"
Andaa kabisa wadhamini wakakuwekee dhamana mahakama ya mwanzo
Hook up maana yake Malaya Sasa huyu hili ni tangazo kalifanyia modifications tu, tuliosoma Cuba tumemwelewa amelenga nini
 
Huyu mliachana?

 
Huyu mliachana?

Nmegundua hili jamaa limeleta mada ni pungazeze,
 
Back
Top Bottom