Kaninyanyasa kijinsia nawezaje kumshtaki?

Chai afu imekaa kutangaza ushetani wako wa biashara ya ngono, PUMBAVU [emoji35]
 
Mume niko hapa namsoma tu huyu Nyau..
Mkaa bei gani jamani😁
 
Usije ukamsingizia mimba kumbe sio yake
 
Una Ndoa, alafu unataka umshitaki mchepuko ,kimyakimya au?.

Duuuhh chai nyingine hizi , haya meza P2 .
 
Utalimia meno
 
Hayo ni matumizi mazuri ya pesa yake
 
Vitoto vya siku hizi bhana unaambiwa ni kazi chafu lakini mtu lazima aifanye
 
Kama mlikubaliana asikojolee ndani,je wwe mbona unakojolea ndani pia!!?
 
Eti uanipa utamu halafu nisishangilie na kukupa Vitamin X?! Ujinga gani huo?!
Usitoe utamu kama hutaki faidika na virutubisho!🧯☠️☣️⚠️
 
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Hongera sana mama kijacho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…