Kanipiga na mwiko nikimuuliza kwa nini! Eti alikuwa ananiamsha msosi tayari

Kanipiga na mwiko nikimuuliza kwa nini! Eti alikuwa ananiamsha msosi tayari

Wakuu poleni na majukumu na harakati za kusaka tonge ili mikono iingie kinywani.

Hivi wakuu, huyu beki tatu nimfanye nini, katika harakati za mizungiko yangu nikarudi zangu home wakati nimepumzika chini ya mwembe kwenye mkeka kwa bahati mbaya nikapitiwa na usingizi, sasa wakati msosi umeiva maza akamtuma beki tatu kamwamshe kaka yako aje ale, sasa yule beki tatu kaja na mwiko akanipiga nao hadi alama ikabaki kwenye upaja.

Vipi wakuu nimfanye nini?
House girl anakuona wewe ni bwege,kwani umekuwa lakini bado unabanana na wazazi tu hadi umri huo.kwahiyo sasa beki tatu anaona wewe hustahili kupewa chakula cha bule.
 
Kwani mkuu ni kosa kwenda kula home!!
 
Haaa sasa ndo anipige na mwiko!!yani kikwetu ukipigwa na mwiko ni uchuro sana asee
 
Ww utakua n mwanaume wa dar mikoani hamna vitu kama hivo
 
Bora mimi wa dar! Nyie huko mikoani kubwa zima bado mnacheza rede na dadazenu!!
 
Back
Top Bottom