Kaniroga kwa kutumia penzi lake

Kaniroga kwa kutumia penzi lake

Yani unadate na mchawi na unaringa! Kweli dunia hadaa walimwengu shujaa!.. nimekukoma Mimi tulia hirizi pumuzi zije ziishe dawa kitaumana tu..[emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mbona unataka kupindua meza sasa
😂 Mnanichangia sasa nataka nifanye ile kitu inaitwa kaa huku namimi nikae huku tumfinye mshenzi!.🤣

Bora yeye ndo ang'ake ila wewe kuwa mpole tu maana wapemba hujuana kwa vilemba..😅
 
Back
Top Bottom