Kaniroga kwa kutumia penzi lake

Yani unadate na mchawi na unaringa! Kweli dunia hadaa walimwengu shujaa!.. nimekukoma Mimi tulia hirizi pumuzi zije ziishe dawa kitaumana tu..[emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mbona unataka kupindua meza sasa
😂 Mnanichangia sasa nataka nifanye ile kitu inaitwa kaa huku namimi nikae huku tumfinye mshenzi!.🤣

Bora yeye ndo ang'ake ila wewe kuwa mpole tu maana wapemba hujuana kwa vilemba..😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…