Kaniroga kwa kutumia penzi lake

[emoji23] Mnanichangia sasa nataka nifanye ile kitu inaitwa kaa huku namimi nikae huku tumfinye mshenzi!.[emoji1787]

Bora yeye ndo ang'ake ila wewe kuwa mpole tu maana wapemba hujuana kwa vilemba..[emoji28]
Baki salama[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
 
Never,halafu we mtu mzima kabisa ona soni kutuandikia vijana maneno Kama haya!

Mrogo wa bila mizimu
Jomba,hutaniwi??, punguza moto mwanangu JF sehemu ya utani mwingi.Sorry Chifu km nimekukwaza.
 
πŸ˜‚ Mnanichangia sasa nataka nifanye ile kitu inaitwa kaa huku namimi nikae huku tumfinye mshenzi!.🀣

Bora yeye ndo ang'ake ila wewe kuwa mpole tu maana wapemba hujuana kwa vilemba..πŸ˜…
Eti tunakuchangia
Tulia utarogwa wewee
 
Waefeso 5:5 Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu.
 
Waefeso 5:5 Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu.
πŸ™
 
Umeoa lini bwashee, acha mihemko ya wanandoa maana jana tu nimekuona na danga la mtaa wa saba halafu leo unatoa utenzi wa kumpenda your wife, kwenda kule karubandika weye πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…