Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Aisee nyie[emoji16]

Mnajuana wenyewe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ha ha ha..,
Very interesting.
Hebu fafanua vizur Apo mkuu.
Kumbe siko peke yangu eeeh[emoji4]
Kama Mama J anavoona ana thamani sana kama Mke wako na Mimi napitia hayo Kuna Binti anajiona ana thamani sawa na ndugu... Zangu nimempa Kila kitu ila ikafika hatuna nikapunguza... Yaani akawa anatishia kuniacha mwanzoni nilikuwa naamuia nashindwa kumjibu, Kuna siku nikamwambia poa niache na kuache Hadi leo Ametulia
 
Nasisitiza wanaume mliozaliwa mikoani mna shida....sijaona katika orodha yako ya matumizi mzazi /wazazi au ndugu yako.

Ni upuuzi.
 
Nasisitiza wanaume mliozaliwa mikoani mna shida....sijaona katika orodha yako ya matumizi mzazi /wazazi au ndugu yako.

Ni upuuzi.
Sawa sawa, nyie wazaramo mlozaliwa hapa hapa dar huwa Hamna shida kabisa[emoji4][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…