Kanisa Katoliki jimbo la Ifakara limemsamehe Enock Masala mwenye umri wa miaka 19 aliyetaka kutoroka na Ekaristi Takatifu kanisani.
kijana huyu alikamatwa julai 28, 2024 wakati wa misa ya kwanza Walinzi wa Kanisa hilo walimkamata na alipohojiwa na kamati ya ulinzi ya kanisa hilo alikiri kuwa yeye siyo Mkatoliki hajabatizwa wala hajapata mafundisho yoyote hivyo hajui utaratibu wa ibada wala kanisa hilo kwa ujumla
Hata hivyo Paroko wa Kanisa hilo amesema linaendelea kufanya uchunguzi zaidi kuhusiana na matukio ya aina hiyo.
kijana huyu alikamatwa julai 28, 2024 wakati wa misa ya kwanza Walinzi wa Kanisa hilo walimkamata na alipohojiwa na kamati ya ulinzi ya kanisa hilo alikiri kuwa yeye siyo Mkatoliki hajabatizwa wala hajapata mafundisho yoyote hivyo hajui utaratibu wa ibada wala kanisa hilo kwa ujumla
Hata hivyo Paroko wa Kanisa hilo amesema linaendelea kufanya uchunguzi zaidi kuhusiana na matukio ya aina hiyo.