dini ya Mwenyeaaazi MunguAngekamatwa na wale wa upande ule dogo angeshakuwa majivu muda huu
Ekaristi ni Sakramenti ya Mwili na Damu ya YesuEkaristi ndio nini ?
mshamba_mwingine .
Mwili na damu vya Bwana wetu, Yesu kristo, katika maumbo ya mkate na divai.Ekaristi ndio nini ?
mshamba_mwingine .
Zaman kulikuwaga na mastory eti kuna mtu alikabanza mdomoni mwake alivyofika nyumban akakitema ,alivyotema ikatoka damu badala ya mkateWakati nasoma seminary... Nilikula kal kamkate(ni ngano)
Siku hiyo baba askofu alikuja, watu walikuwa wanapewa hiyo mikate, ilikuwa baada ya mapumziko ndio shughuli inaanza, mie nilipopata taarifa hizo nikaona bora nisepe niingie mtaani haya hayanihusu, ukizingatia njaa ilikuwa imenikamata, wakati nachochora, sister akaniita, akaniuliza na kiingereza chake cha kihindi(whea arr yu gowing) 😂 akaniamuru niingie class, sasa njaa inanisokota, nilivyosikia mkate wa bwana nikaona huu siuachi ngoja nijipoze, wakati nimeoanga foleni, wanafunzi hawana mbavu, wanajua mie muislam, ila kwa kuwa school nilikuwa mchakaramu, mcheshi, mtukutu, kipenzi cha wengi.. Wakanivungia, aisee nikawa naona watu wanapiga goti wanapewa kitu mkononi wanasogea pembeni wanakula, wengine wanaweka mikono tumboni kuonesha unynyekevu wanaoanua kinywa wanalishwa, ilivyofika zamu yangu nikafanya hivyo, aisee sijamaliza hata hatua mbili kile kingano kishamung'unyuka😂🤣🤣.. Nikaenda kukaa wanangu wakacheka nami nikacheka siku ikaisha.
Better doing your practicleZaman kulikuwaga na mastory eti kuna mtu alikabanza mdomoni mwake alivyofika nyumban akakitema ,alivyotema ikatoka damu badala ya mkate
Walikosea waliokuona wakijua hustahili ila wakakuacha , wao ndio waliandikiwa kosa.Wakati nasoma seminary... Nilikula kal kamkate(ni ngano)
Siku hiyo baba askofu alikuja, watu walikuwa wanapewa hiyo mikate, ilikuwa baada ya mapumziko ndio shughuli inaanza, mie nilipopata taarifa hizo nikaona bora nisepe niingie mtaani haya hayanihusu, ukizingatia njaa ilikuwa imenikamata, wakati nachochora, sister akaniita, akaniuliza na kiingereza chake cha kihindi(whea arr yu gowing) 😂 akaniamuru niingie class, sasa njaa inanisokota, nilivyosikia mkate wa bwana nikaona huu siuachi ngoja nijipoze, wakati nimeoanga foleni, wanafunzi hawana mbavu, wanajua mie muislam, ila kwa kuwa school nilikuwa mchakaramu, mcheshi, mtukutu, kipenzi cha wengi.. Wakanivungia, aisee nikawa naona watu wanapiga goti wanapewa kitu mkononi wanasogea pembeni wanakula, wengine wanaweka mikono tumboni kuonesha unynyekevu wanaoanua kinywa wanalishwa, ilivyofika zamu yangu nikafanya hivyo, aisee sijamaliza hata hatua mbili kile kingano kishamung'unyuka😂🤣🤣.. Nikaenda kukaa wanangu wakacheka nami nikacheka siku ikaisha.
Okay,Ekaristi ni Sakramenti ya Mwili na Damu ya Yesu
Kristo, katika maumbo ya mkate na divai.
Mboni huachi dhambi Sasa ?Mwili na damu vya Bwana wetu, Yesu kristo, katika maumbo ya mkate na divai.
Vilitolewa kwa ajili yetu, kwa kusudi la kutukomboa na dhambi.
🤣🤣Zaman kulikuwaga na mastory eti kuna mtu alikabanza mdomoni mwake alivyofika nyumban akakitema ,alivyotema ikatoka damu badala ya mkate
Nami nawaombea wasamehewe makosa yao.Walikosea waliokuona wakijua hustahili ila wakakuacha , wao ndio waliandikiwa kosa.
...........Mnyaaaazi.......😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣dini ya Mwenyeaaazi Mungu