chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nashauri Kanisa Katoliki, wakiongozwa na Padri Kitima ambaye hujitanabaisha kutetea haki za aina mbali mbali, wajitokeze kutoa neno kuhusu jambo lililofanywa na waumini wao pamoja na mlinzi, tena ndani ya eneo la kanisa.
Matamko yasiishie katika siasa tu ambako huwa tunalenga kusaidia vyama vya kisiasa rafiki kwa kanisa letu.
Pia soma=> Polisi Dodoma yamshikilia Mlinzi wa Kanisa kwa tuhuma za mauaji ya msanii Man Dojo
Matamko yasiishie katika siasa tu ambako huwa tunalenga kusaidia vyama vya kisiasa rafiki kwa kanisa letu.
Pia soma=> Polisi Dodoma yamshikilia Mlinzi wa Kanisa kwa tuhuma za mauaji ya msanii Man Dojo