Okokeni....? Ni wangapi wanaojiita wameokoka, au hata wachungaji Wana hirizi??kwani ni mara ngapi mapadri wanaonekana kwa waganga wa kienyeji? mapadri wangapi hawana hirizi? okokeni ninyi wakatoliki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okokeni....? Ni wangapi wanaojiita wameokoka, au hata wachungaji Wana hirizi??kwani ni mara ngapi mapadri wanaonekana kwa waganga wa kienyeji? mapadri wangapi hawana hirizi? okokeni ninyi wakatoliki.
Tukuamini wewe ukiwa kama nani?Niamini mimi hatuna mapadre washenzi washenzi
Una uhakika alibaka? Una uhakika alifungwa?Yulepadre aliyefungwa kwa kubaka moshi nae awekwe fungu gani? labda wamkane tu yawezekana yeye ndo kasema ni paroko msaidizi wa pale
Wewe ndio ukamatwe ka kutaka kuficha ukweli. Hilo jina ni la padri kabisa na ni msaidizi wa paroko pale parokiani. Mnadhani kuna pa kujificha?. Imani inawafanya muwe wajinga sanaHuyo msemaji wa polisi anapaswa kuwajibishwa kwa kuleta taharuki kwa kanisa katoliki.hakupaswa kuongea kwenye public bila kufanya uchunguzi wa kina .katudhalilisha sana waumini wa kanisa katoliki.
Hakuna anayekuchanganya ila unajichanganya mwenyewe,Paroko kwani wao ni malaika au binadamu kama sisi tu? Unapataje ujasiri wa kuwakingia kifua kua hawawezi kufanya huo ujinga?Wanatuchanganya.
Tukubali tu hakuna Padre au Paroko wa kuweza kufanya huu ujinga.
Huyo ni Padre anaonekana kwenye Directory ya Bukobadiocese.co.tz yuko Parish ya Rutabo na ameandikwa kwa jina la Fr. Elpidius Rwegoshora. Hivyo ni hakika ni Padre, pia tuelewe kuwa ubinadamu upo pale pale hata kama ni padre anaweza tenda dhambi pia.Huyo msemaji wa polisi anapaswa kuwajibishwa kwa kuleta taharuki kwa kanisa katoliki.hakupaswa kuongea kwenye public bila kufanya uchunguzi wa kina .katudhalilisha sana waumini wa kanisa katoliki.
Umeandika mkuuAnaweza kuwa sio padre kwa asilimia mia ila haimaanishi kuwa mapadre ni wasafi sana, wao pia ni wadhambi na wanaweza fanya dhambi yoyote shetani hachagui wewe ni nani au una cheo kipi kama Imani yako ni nyembamba atapita tu na wewe
Angekua muislamu ungesema hivyo? Baba Paroko tayari yupo kwenye mikono salama,nenda kamtetee Mahakamani,kuiongopea akili yako hapa eti huenda hawajafanya uchunguzi wa kutosha,hakuwezi kubadili kitu.Huenda hawajafanya uchunguzi wa kutosha.
Na hii sio haki kwa ndugu zetu albino
NDIO maana nimesema hii taarifa ina walakini sijawahi na sina shabaha ya kuleta udini. SIJAWAHII kusikia padre au sheikh kufanya mauaji ya namna hii tena kwa mtoto asiye na hatiaAngekua muislamu ungesema hivyo? Baba Paroko tayari yupo kwenye mikono salama,nenda kamtetee Mahakamani,kuiongopea akili yako hapa eti huenda hawajafanya uchunguzi wa kutosha,hakuwezi kubadili kitu.
Inaweza kuwa kazi ya mtu mukubwa nyota yake inafifia wanataka kuing'aza upya lawama watupiwe katoliki baada ya waraka wa katibu wa TECKisa cha kukamatwa wauaji ni cha kutunga
Hahahh ni ngoma drooParoko wa babati anasema huyo Polisi Hatasamehewa? Mbona nyie mnatufundisha tuwasamehe wanaotukosea?
Paroko wa babati anasema huyo Polisi Hatasamehewa? Mbona nyie mnatufundisha tuwasamehe wanaotukosea?
Anzia makongo juu hapo utawakuta na changanyikeniNiamini mimi hatuna mapadre washenzi washenzi
Kitu gani kinakufanya uone kua hii taarifa ina walakini? Binadamu yeyote yule huwezi kumuwekea dhamana kua ni mtakatifu.NDIO maana nimesema hii taarifa ina walakini sijawahi na sina shabaha ya kuleta udini. SIJAWAHII kusikia padre au sheikh kufanya mauaji ya namna hii tena kwa mtoto asiye na hatia
Wapo kibao! Na masister Pia wapo sio mapadre pekee! Hadi walimu wa dini wapo!Wanatuchanganya.
Tukubali tu hakuna Padre au Paroko wa kuweza kufanya huu ujinga.
Huwa haiko hivyo mkuu, uparoko huja baada ya kuwa padre, na upadre huja kwa madaraja ya kielimu, sio kupendekezana.Msaidizi wa paroko ni paroko
Inasikitisha sanaMsemaji wa jeshi la polisi kasema ni padri, watu wanatwambia ni mlevi mmoja hivi.
Which is which??
Pia soma Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji