Miaka 30 ilopita mwanamuziki mzaliwa wa Dublin Ireland aliichana picha ya PAPA FRANCIS hadharani ukumbini na akawaambia "Fight the real energy" shida kubwa ilikuwa analalamikia vijana wengi wa kiume huko nchini kwake Ireland walikuwa mashoga na uongezaji wao ulikuwa wa kutisha na ilibainika Kuwa wote wamesoma seminary hivyo walikuwa wanatatuliwa marinda na maparoko, na blooder n.k angali wakiwa umri wa kindergarten na hii ni kutokana na mahojiano ya wachunguzi na mashoga husika wengine waliambiwa na maparoko wabokoaji kwamba kubokolewa is the best way of life (imagine mtoto ana 6 yrs anabokolewa na lijitu lina 50yrs halafu linamwambia huo ushenzi).
Ikumbukwe kwa nchi za ulaya jamuhuri ya Ireland ndiko ROMA CATHOLIC imetamalaki kuliko Italy, pamoja na malalamiko hayo na taarifa za uchunguzi BABA MTAKATI WA WAKATI HUO PAPA FRANCIS hakuchukua hatua zozote ndipo huyu mwanamuziki alipoonesha hisia zake miezi kadhaa baadae ndipo Vatican ikachukua hatua ya kuanza kulipa fidia kwa waathiriwa waliojitokeza.
Hivi ni taarifa kwa wafia dini mnaoamini maparoko wenu ni watakatifu na kwamba wakiguswa na kashfa mnadhani wanadhalilishwa badala ya kuangalia ukweli wa mambo na ninakutakia ubishi mwema lakini nakutahadharisha kupeleka watoto wa wadogo wa kiume seminary maana utashangaa mwanao kasoma vizuri yupo Bank fulani anatafuta mume wa kumuoa.