Mwanafunzi aliyesoma seminary hawezi andika ivo. Jamaa mwongoHiyo seminari wanayofundisha kuandika katoriki na wataludi ni ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanafunzi aliyesoma seminary hawezi andika ivo. Jamaa mwongoHiyo seminari wanayofundisha kuandika katoriki na wataludi ni ipi?
Kwani nani anataka kuwahonga mapadre wetu jamani 🤣🤣🤣😆😆I will be short
Roman Catholic sio kabisa . Hili kanisa ukilisupport na kulitumia Kama daraja utashangazwa .
Dakika za jioni kabisa 😂😂😂
Hata ujitoe vipi kwao wataludi Kwenye utaratibu wao . 😂😂. Hata sadaka ziwe trillion . Siku ya Mwisho vipi ulifata utaratibu na je ni Mfano kwa Jamii
ukitumia rushwa utoboi , Mwishoni Dakika za jioni kabisa . Wanafata utaratibu wao . Mara upo nje ya box .
That’s why bora ufate utaratibu kuliko ku tumia pesa .
Watu wa seminary tunajua .
Hayo siyo mambo ya kipuuzi.Content umeelewa vizuri, umeamua kudeal na Mambo ya kipuuzi!! Nia imeeleweka!!
Alie sema tupo jf chunguza mwandiko nani , kama hujamwelewa mtoa mada wewe ni kilaza wa kutupa kama sio fisadi ,pumbavuHakuna mseminari hapa