Kanisa kujenga vyuo vikuu vitatu vipya

Nyie ndio mnatafuta mabwana kila siku kulia lia mnataka haki sawa , kimekuuma umeleta Ta.ko lako hapa unajiuma uma hapa. Nenda kaandamane kikwete na alhaji kova wawapige mabumu na kuwanyoa ndevu zenu hizo.
Kwanza mahakama ya kadhi mmeshapewa?

Dry your eye's girl....

FIRSTLY I AINT LOOKING FOR CHEAP GIRLS LIKE YOU HUMU JF! , AIM 100% CLASS AIM NOT THAT MUCH DESPERATE

SECONDLY, HAVEN'T YOU GOT ANY DISHES TO WASH RIGHT NOW ....??

 

Wangefikiria zaidi kujenga vyuo vya kati(Certificate na Diploma),tena vya stadi za kazi hivyo vingesaidia vijana wengi wasiofikia viwango vya kuwawezesha kujiunga na chuo kikuu,hawa wa form IV na VI,(failed)Binafsi siafiki mipango hiyo kwani tunatengeneza tabaka la wasomi tu huku vijana wengi tena wakristo wazuri wanaolipa hadhi kanisa letu wakiwa mitaani bila ujuzi wowote wala kazi na hiyo siyo maono wala nia ya kimungu ni ya kibiashara zaidi,kanisa letu linafanya biashara badala ya kuhubiri injili ili iwafikie watu wote na siyo tabaka fulani la watu.Tafadhali sana Mr Mjema peleka ujumbe huu kwa wahusika sawia bila kumung'unya maneno kwani iko siku vurugu kubwa itatokea ndani ya kanisa kutokana na ubaguzi huu mkubwa usio na upako wa mwenyezi mungu,tena kulichanachana kabisa.
 


Dry your eye's girl....

FIRSTLY I AINT LOOKING FOR CHEAP GIRLS LIKE YOU HUMU JF! , AIM 100% CLASS AIM NOT THAT MUCH DESPERATE

SECONDLY, HAVEN'T YOU GOT ANY DISHES TO WASH RIGHT NOW ....??


Unatapa tapa, hoja huna
 

I dont agree with you. Wewe hujasikia kuwa vyuo vyeti vina wahadhiri wachache....... Bado tu hutaki watu wamalize elim ya juu .. Certificate itamsaidia nini?
 
I dont agree with you. Wewe hujasikia kuwa vyuo vyeti vina wahadhiri wachache....... Bado tu hutaki watu wamalize elim ya juu .. Certificate itamsaidia nini?

Kama hana huo uwezo wa kusoma hiyo degree hivyo ndiyo maisha yako yameishia hapo? na hivi wote tukiwa na degree hizi kazi nyigine za chini nani azifanye au wote tukiwa maprofesa ina tija gani kwa kanisa na nchi hii.
 
Unatapa tapa, hoja huna

Don't be so silly, kuna hoja gani ya kujenga! hapo au wataka mabishano tu yasio na msingi umeanza na thread vizuri kuhabarisha uma kuhusu vyuo vikuu! vya KKT ... mikono ikakuwasha post number mbili ukaanza personal attacks as usual hate towards Muslims community! ....

get a job or something your hatred and jealousy towards Muslims community haitokufikisha popote .. rather you will be trolling behind keyboard kuongeza idadi ya post zako tu humu JF ..

pathetic
 
Kwa mawazo yangu BASHING other CREEDS haitusadii KITU, tuachane na mambo ya kupalia mkaa usio wa lazima; vyuo vikuu vinavyo funguliwa ni kwa faida ya Watanzania wote ndio maana Serikali yetu inatoa mikopo kwa wanafunzi wote bila ya kujali kama wanasoma Vyuo vikuu vya Serikali, dini au binafsi; kila binadamu anajikuna pale anapofikia sasa tatizo liko wapi?

Tuanzishe thread za kujuzana na kushauriana, lakini tukianzisha mada ambazo ndani yake kuna ageda nyingine tena - basi ndio unakuta watu wana anza kujibizana ndio sivyo - hii siyo fresh hata kidogo.
 
wenyewe waliotuletea wanastarehe huko!!dini zenyewe tunapapasa tu!ujinga ujinga tu hapa
wenyewe wanatushangaa sana si unaona uingereza /anglican wanavyowachezea ubongo africa/ anglican ila hawashtuki kabisa lol jiulize sababu kuu yakuenea kwa hizi dini ndio utajua ni za ukweli au uongo.
 
Kama hana huo uwezo wa kusoma hiyo degree hivyo ndiyo maisha yako yameishia hapo? na hivi wote tukiwa na degree hizi kazi nyigine za chini nani azifanye au wote tukiwa maprofesa ina tija gani kwa kanisa na nchi hii.

Nitajie nchi ambayo ina hizo characters ulizozitaja hapo
 
wenyewe wanatushangaa sana si unaona uingereza /anglican wanavyowachezea ubongo africa/ anglican ila hawashtuki kabisa lol jiulize sababu kuu yakuenea kwa hizi dini ndio utajua ni za ukweli au uongo.

Kuna watu wanachezewa ubongo kama islam/arabilesbianshomosexual?
 

Well said imamu, kachukue posho segerea kwa alhaji ponda
 
Mungu ni mwema sana,haya sasa jiandaeni kwenda kuvichoma.aleluya ..............yesu juu zaidi.
Hamuwawezi wakristo nyie !!!!!!!!!!
 
Mungu ni mwema sana,haya sasa jiandaeni kwenda kuvichoma.aleluya ..............yesu juu zaidi.
Hamuwawezi wakristo nyie !!!!!!!!!!

Wanafiki hawa halafu watakataa kuwa sio wao wanaovichoma
 
Kuweni na Amani na upendo na kila mmoja!! tena imeaswa kuwapenda wanaotunenea mabaya! Mungu yupo upande wetu sisi tutakuwa washindi daima
 
Sisi maislamu ni Lazima tuandamane IJUMAA hii.....Haiwezekani serikali inawapa wakristo mijihela ya kujengea VYUO VIKUU
Mtabaki hivyohivyo mkuu wangu. Wakati wenzenu wanafikiria maendeleo ninyi mnapanga maandamano yasiyo na msingi. Jifunzen kwa wenzenu lasivyo mtaishia kulaumu kila siku.
 

Safi sana!
 
Napenda kulipongeza Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania wakiongozwa na Rais wao Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, Askofu wa Iringa kwa kujitoa kwa nia ya dhati kuleta mabadiliko katika elimu ya juu kwa kupeleka huduma ya elimu ya juu katika maeneeo yaliyokuwa yamesahaulika kama Mtwara, Ruvuma, na Kagera, nawatakia kila la heri katika ule mpango wa kufika Kigoma, Biharamulo, Arusha, Singida, Zanzibar na kwingineko hivi karibuni, mwendelee na moyo huo huo kama mlivoweza kumiliki theluthi tatu ya utoaji wa huduma zote za jamii hasa Mashule na Hospitali kabla ya utaifishaji miaka ya katikati ya 1960, na baadae kwa dhati kabisa Mwadhama Laurian Kadinali Rugambwa kukubali kuzitoa kwa Serikali ya Mwalimu Nyerere ili zihudumie Watanzania wote.

Kwa hatua hii tunashukuru mpaka sasa kwa vyuo hivi!

1.St Augustine University of Tanzania Main Campus-SAUT,-MWANZA
2.Catholic University of Health and Allied Sciences-CUHAS,-MWANZA
3.Mwenge University College of Education-MWUCE,-MOSHI
4.Ruaha University College-RUCO-IRINGA
5.St Francis University College of Health and Allied Sciences-SFUCHAS,-IFAKARA
6.Archbishop Mihayo University College of Tabora-AMUCTA,-TABORA
7.Stella Maris Mtwara University College-STEMMUCO,-MTWARA
8.Bishop James University College of Songea-BJUCO,-SONGEA
9.Cardinal Laurian Rugambwa University College of Bukoba,-BUKOBA
10.Jordan University College-JUCO,-MOROGO
11.St Augustine University of Tanzania Dar es salaam Centre-DAR ES SALAAM

HONGERENI SANAAAA!
 
muogope mtu mwenye mipango kama kanisa katoliki.....hongera kwa kutukomboa duniani na peponi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…