Kanisa kujenga vyuo vikuu vitatu vipya

Kanisa kujenga vyuo vikuu vitatu vipya

i pad3

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
1,518
Reaction score
378
Na Daniel Mjema : moshi:

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) lina mpango wa kuanzisha vyuo vikuu vitatu vitakavyokuwa vyuo vikuu vishiriki vya chuo kikuu cha Makumira kilichopo nje kidogo ya jiji la Arusha.
Makamu mkuu wa chuo kikuu cha Makumira Prof. Joseph Parsalaw alisema mwishoni mwa wiki kuwa lengo ni kuboresha utoaji wa elimu nchini.
Kwa mujibu wa Makamu mkuu wa Tumaini vyuo hivyo vitajengwa mkoani Singida, Monduli, na Karagwe mkoani kagera
Source.mwananchi .Nov.13 uk.5

Napenda kulipongeza Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania wakiongozwa na Rais wao Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, Askofu wa Iringa kwa kujitoa kwa nia ya dhati kuleta mabadiliko katika elimu ya juu kwa kupeleka huduma ya elimu ya juu katika maeneeo yaliyokuwa yamesahaulika kama Mtwara, Ruvuma, na Kagera, nawatakia kila la heri katika ule mpango wa kufika Kigoma, Biharamulo, Arusha, Singida, Zanzibar na kwingineko hivi karibuni, mwendelee na moyo huo huo kama mlivoweza kumiliki theluthi tatu ya utoaji wa huduma zote za jamii hasa Mashule na Hospitali kabla ya utaifishaji miaka ya katikati ya 1960, na baadae kwa dhati kabisa Mwadhama Laurian Kadinali Rugambwa kukubali kuzitoa kwa Serikali ya Mwalimu Nyerere ili zihudumie Watanzania wote.

Kwa hatua hii tunashukuru mpaka sasa kwa vyuo hivi!

1.St Augustine University of Tanzania Main Campus-SAUT,-MWANZA
2.Catholic University of Health and Allied Sciences-CUHAS,-MWANZA
3.Mwenge University College of Education-MWUCE,-MOSHI
4.Ruaha University College-RUCO-IRINGA
5.St Francis University College of Health and Allied Sciences-SFUCHAS,-IFAKARA
6.Archbishop Mihayo University College of Tabora-AMUCTA,-TABORA
7.Stella Maris Mtwara University College-STEMMUCO,-MTWARA
8.Bishop James University College of Songea-BJUCO,-SONGEA
9.Cardinal Laurian Rugambwa University College of Bukoba,-BUKOBA
10.Jordan University College-JUCO,-MOROGO
11.St Augustine University of Tanzania Dar es salaam Centre-DAR ES SALAAM

HONGERENI SANAAAA!
 
Na Daniel Mjema : moshi:

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) lina mpango wa kuanzisha vyuo vikuu vitatu vitakavyokuwa vyuo vikuu vishiriki vya chuo kikuu cha Makumira kilichopo nje kidogo ya jiji la Arusha.
Makamu mkuu wa chuo kikuu cha Makumira Prof. Joseph Parsalaw alisema mwishoni mwa wiki kuwa lengo ni kuboresha utoaji wa elimu nchini.
Source.mwananchi .Nov.13 uk.5

utasikia changia redio Na tv Imani.
Then baada ya muda ama miaka kadhaa utasikia
Oooo wanapendelewa...... Ooooo .. Haki sawa kwa wote ..
Oooo wamejazana kwenye vitengo vyote.
 
utasikia changia redio Na tv Imani.
Then baada ya muda ama miaka kadhaa utasikia
Oooo wanapendelewa...... Ooooo .. Haki sawa kwa wote ..
Oooo wamejazana kwenye vitengo vyote.

Msubiri mtetezi wao Ritz akushukie
 
Na Daniel Mjema : moshi:

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) lina mpango wa kuanzisha vyuo vikuu vitatu vitakavyokuwa vyuo vikuu vishiriki vya chuo kikuu cha Makumira kilichopo nje kidogo ya jiji la Arusha.
Makamu mkuu wa chuo kikuu cha Makumira Prof. Joseph Parsalaw alisema mwishoni mwa wiki kuwa lengo ni kuboresha utoaji wa elimu nchini.
Kwa mujibu wa Makamu mkuu wa Tumaini vyuo hivyo vitajengwa mkoani Singida, Monduli, na Karagwe mkoani kagera
Source.mwananchi .Nov.13 uk.5
hivi wameambiwa watanzania wote lazima wawe na degree? kwani vyuo vya veta sio vyuo jamani form four wetu kutoka shule za kata wanaopata divisioni four za 29 na kuendelea nani atawasaidia ili nao wapate stadi za kazi?
 
Kanisa lipo mbele kuhakikisha tunakuwa vochwa na si mkia.YESU JUUUUUUUUUUUUU.
JU JU JUZAIDIIIIIIIIIIIIIIIIII.
 
  • Thanks
Reactions: awp
Mie navipokea kwa furaha kwani watasoma watu wote wenye kutaka bila ubaguzi hasa wa dini
 
Wale wenzetu wa uamsho watasema hizo ni pesa za MOU ndizo zinazofanya maendeleo
 
  • Thanks
Reactions: awp
K.k.k.t; wakumbuke Dodoma nako kujenga chuo kikuu maalum kwani kuna maeneo ya ardhi makubwa yanapatikana kwa gharama nafuu hasa wilaya mpwapwa,chamwino na hata Kongwa.
 
Sisi maislamu ni Lazima tuandamane IJUMAA hii.....Haiwezekani serikali inawapa wakristo mijihela ya kujengea VYUO VIKUU

Na zile sadaka zenu na vile vibakuli mnaweka stand na vitambaa vya kuomba sadaka eti mnajenga msikiti na madrasa!!! Mnapeleka wapi? Ha ha ha ha!!! To hell!!!
 
Mkuu BAOBAO dom iachwe iishe kwa kujengwa HQ za magamba,vyuo vya nn huku tena?
 
Na zile sadaka zenu na vile vibakuli mnaweka stand na vitambaa vya kuomba sadaka eti mnajenga msikiti na madrasa!!! Mnapeleka wapi? Ha ha ha ha!!! To hell!!!

Usituingilie.............Mmezoea kubebwa na serikali ya ccm
 
Back
Top Bottom