Kanisa la KKKT lahukumiwa kulipa fidia ya shilingi Milioni 70

Kanisa la KKKT lahukumiwa kulipa fidia ya shilingi Milioni 70

Wanasema ukimgonga mtu unatakiwa ummalizie ili gharama iwe ndogo
 
Unashangaa nini? Fidia ni ndogo au kubwa? Thamani ya uhai wa mtu ni sawa na hiyo fidia?
Tatizo sio fidia jēe sheria imefuata mkondo wake??
1-dereva ana vibali vyote vya kuendesha gari kabla na alipopata Ajali??
2-Gari ina Bima??
 
BIMA sio ilokuwa yaendesha gari.
Kafatilie kesi ya Kilimanjaro Express na Familia moja hivi

Wao walienda mshtaki mwenye gari, wakashinda kesi walipwe zaidi ya 100mil
Jēe Kanisa ndilo limeendesha gari na kusababisha Ajali??
 
Mahakama ya hakimu Mkazi Njombe imelihukumu Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya kusini kulipa fidia ya shilingi Milioni 70 baada ya gari mali ya kanisa hilo kugonga na kusababisha kifo cha marehemu Kaselida Mlowe wa mjini Njombe...
Sadaka
Doh
 
Kwani kashitakiwa BIMA?
Unamshtaki aliyesababisha ajali au chombo husika na si kampuni ya BIMA.

Mwenye mali ndiye akawashtaki BIMA wamsaidie lipa
Awashtaki bima kwa kosa gani? , yaani bima wamefanya kosa gani hadi washtakiwe?

 
Awashtaki bima kwa kosa gani? , yaani bima wamefanya kosa gani hadi washtakiwe?

Sasa unachosema kuwa haikuwa na bima ulitaka nani akaishtaki bima?
Au ndo kukurupuka kama waoga nje?
 
Sasa unachosema kuwa haikuwa na bima ulitaka nani akaishtaki bima?
Au ndo kukurupuka kama waoga nje?
Mimi nimeuliza tu sijui chochote. Kwamba wakashtaki kampuni ya Bima, kampuni ya Bima imefanya kosa gani hadi ishtakiwe?
 
Kwani kashitakiwa BIMA?
Unamshtaki aliyesababisha ajali au chombo husika na si kampuni ya BIMA.

Mwenye mali ndiye akawashtaki BIMA wamsaidie lipa
Bima haishtakiwi. Inakuwa ni wajibu wake kumlipa mhanga. Ndiyo maana inaitwa third party liability
 
BIMA sio ilokuwa yaendesha gari.
Kafatilie kesi ya Kilimanjaro Express na Familia moja hivi

Wao walienda mshtaki mwenye gari, wakashinda kesi walipwe zaidi ya 100mil
Hebu tupeane maarifa kidogo
Bima ya chombo cha moto ni lazima kisheria ila aina ya bima ndio uamuzi wa mteja .. Kuna bima za aina mbili
Bima kubwa ( comprehensive) hii gari ikipata shida yoyote iwe wizi, moto, ama ajali yoyote inalipwa kwa thamani ya gari kasoro uchakavu kama ni total loss( beyond repair)

Bima ndogo (third party)
Hii ni bima ambayo kampuni haitamlipa mmiliki linapotokea tatizo la ajali bali itamlipa mtu (kama yupo) aliyesababishiwa ajali hapo ni pamoja na gari lingine, jengo nk

Je KKKT hawakuwa na bima kabisa? Kama jibu ni ndio basi licha ya kimlipa mhanga bado wanaweza kushtakiwa kwa kumiliki chombo cha moto kisicho na bima
Ishu ya kama ni uzembe wa dereva( ikithibitika hivyo mahakamani) kama bima ni kubwa bado watalipa lakini kuna penalty wanampiga mmiliki
 
Habari Ya Miezi Mingi Sana Ipo JF Kitambo Labda Ikiwa Imehukumiwa Tena
 
Au ndio maana watu wanachimbachimba ile ajali ya Dom nini .......kuna fursa
 
Back
Top Bottom