Kanisa la KKKT Makongoro, Furahisha Mwanza lafanya ibada ya kumuombea Freeman Mbowe, wafuasi wa Chadema wafurika

Kikolo huna kazi ya kufanya?kila siku wewe na Mbowe tu, tunataka na habari nyingine hayo ya Mbowe ni yake mwenyewe wacha tupambane na suala la kuchwanjwa au kutochanjwa, unakuwa kama wewe ndie Mnyika!
mkichanjwa halafu mkaendelea kuwa watumwa wa ccm ni kazi bure
 
Mungu wa Eliya aliyemeokoa Eliya dhidi ya Ahabu atamwokoa na Freeman Mbowe.
 
Askofu au Mchungaji ni kabila gani?
Pale Mwanza aliwahi kataliwa Askofu kwa kuwa siyo Mchaga. Sasa leo maombi ya aina hiyo yanaelekea huko huko enzi za akina shoo na waraka wa Pasaka.
 
Kikolo huna kazi ya kufanya?kila siku wewe na Mbowe tu, tunataka na habari nyingine hayo ya Mbowe ni yake mwenyewe wacha tupambane na suala la kuchwanjwa au kutochanjwa, unakuwa kama wewe ndie Mnyika!
Huyo yuko kundi la kuishi kwa hisani ya Mbowe. Anapokuwa mahabusu familia inaleta taabu!
 
Duh, naona wanaimba Tenzi za Rohoni kwa twitter. Peoplezzzzzz? Mafi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…