robinson crusoe JF-Expert Member Joined Oct 22, 2020 Posts 762 Reaction score 1,236 Aug 3, 2021 #81 Kwitululu said: Kwa nini maaskofu wengi KKKT ni wazaliwa wa Kikimanjaro Click to expand... Ukijaribu kuingia huko, utafurushwa. Kabila jingine lazima uwe king'ang'anizi kweli kweli! Muulize Malasusa.
Kwitululu said: Kwa nini maaskofu wengi KKKT ni wazaliwa wa Kikimanjaro Click to expand... Ukijaribu kuingia huko, utafurushwa. Kabila jingine lazima uwe king'ang'anizi kweli kweli! Muulize Malasusa.
K Kwitululu Member Joined Mar 30, 2020 Posts 62 Reaction score 124 Aug 3, 2021 #82 Haha. Pala Kimara aliletwa Mchungaji siyo mchanga. Wachaga wote wakagoma kutoa sadaka.
robinson crusoe JF-Expert Member Joined Oct 22, 2020 Posts 762 Reaction score 1,236 Aug 3, 2021 #83 Kwitululu said: Haha. Pala Kimara aliletwa Mchungaji siyo mchanga. Wachaga wote wakagoma kutoa sadaka. Click to expand... Hivyo hivyo! Ndo tabia yao hiyo! kila sehemu wanajitakia wao tu! Siyo KKT tu, hata Katoliki. Uchagani hutakuta padri wa kabila jingine, hutakuta Askofu wa kabila jingine, lakini wao wako mikoa ya wengine wakiamini ni ujanja.
Kwitululu said: Haha. Pala Kimara aliletwa Mchungaji siyo mchanga. Wachaga wote wakagoma kutoa sadaka. Click to expand... Hivyo hivyo! Ndo tabia yao hiyo! kila sehemu wanajitakia wao tu! Siyo KKT tu, hata Katoliki. Uchagani hutakuta padri wa kabila jingine, hutakuta Askofu wa kabila jingine, lakini wao wako mikoa ya wengine wakiamini ni ujanja.