Kanisa la Mkunazini Zanzibar

Kanisa la Mkunazini Zanzibar

Unalisifia kanisa kukomesha biashara ya utumwa ilhali biashara ya utumwa iliendelea kwa miaka mia tano na kanisa likiwepo na halikukemea. Biashara ya utumwa ilikomeshwa kwa sababu ubepari uliona haikuwa na manufaa yoyote.
Kanisa halikuwa na nguvu, kwa vile mtawala wa wakati huo aliichangamkia biahara. Sijui hizi hoja ni za kukebehi au kufich uzo wa viongoziwa utumwa ambao walikuwa Waarabu Waislamu. Nafikiri hapa hakuna cha utetezi wowote. Kanisa kwa namna moja au nyingine lilihusika na kukomesha utumwa. Nadhani hapa ni kuwa wakweli. Kumbuka kuwa siyo Waislamu tu walihusika na utuwa. Wakristu pia walikuwa mstari wa mbele kwenye hii biashara. Actually, kwa TZ/Zanzibar wakamataji watumwa walikuwa Waislamu na wanunuzi wakristu. Biashara ya utumwa kule Afrika magharibi iliongozwa na wakristu na machfu wa huko, pia waislamu walihusika lakini hili lilikuwa la viongozi. Kwa kifupi Waislamu na Wakristu waliuwa dugu mpja kwenye hili.
 
Kanisa halikuwa na nguvu, kwa vile mtawala wa wakati huo aliichangamkia biahara. Sijui hizi hoja ni za kukebehi au kufich uzo wa viongoziwa utumwa ambao walikuwa Waarabu Waislamu. Nafikiri hapa hakuna cha utetezi wowote. Kanisa kwa namna moja au nyingine lilihusika na kukomesha utumwa. Nadhani hapa ni kuwa wakweli. Kumbuka kuwa siyo Waislamu tu walihusika na utuwa. Wakristu pia walikuwa mstari wa mbele kwenye hii biashara. Actually, kwa TZ/Zanzibar wakamataji watumwa walikuwa Waislamu na wanunuzi wakristu. Biashara ya utumwa kule Afrika magharibi iliongozwa na wakristu na machfu wa huko, pia waislamu walihusika lakini hili lilikuwa la viongozi. Kwa kifupi Waislamu na Wakristu waliuwa dugu mpja kwenye hili.
Vipi na kule Ulaya kanisa halikuwa na nguvu kukemea biashara ya utumwa? Kwa taarifa yako kanisa lilikuwa likinufaika na hii biashara kwa miaka mingi sana. Kwa mfano, kule Angola Malkia Nzinga Mbandi alipambana na Wareno pamoja na sababu nyingine ni watawa wa kanisa kujihusisha na baiashara ya utumwa.
 
Back
Top Bottom