uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Nimearifiwa kanisa la sabato linapanga kukutana pmj na mambo mengine litajadili mwenendo wa nchi tangu 2021 hadi sasa
Kiongozi mmoja wa Kanisa amesikitishwa na watu kuwekwa ndani kwa kukosoa mkataba wa bandari
Kila la kheri sabato
Taarfa zaidi zitafuata
Kiongozi mmoja wa Kanisa amesikitishwa na watu kuwekwa ndani kwa kukosoa mkataba wa bandari
Kila la kheri sabato
Taarfa zaidi zitafuata