Pio Gama Pinto
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 285
- 251
Na wale mitume na manabii wa upako je?Nimearifiwa kanisa la sabato linapanga kukutana pmj na mambo mengine litajadili mwenendo wa nchi tangu 2021 hadi sasa
Kiongozi mmoja wa Kanisa amesikitishwa na watu kuwekwa ndani kwa kukosoa mkataba wa bandari
Kila la kheri sabato
Taarfa zaidi zitafuata