Pio Gama Pinto
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 285
- 251
Na wale mitume na manabii wa upako je?Nimearifiwa kanisa la sabato linapanga kukutana pmj na mambo mengine litajadili mwenendo wa nchi tangu 2021 hadi sasa
Kiongozi mmoja wa Kanisa amesikitishwa na watu kuwekwa ndani kwa kukosoa mkataba wa bandari
Kila la kheri sabato
Taarfa zaidi zitafuata
Wewe ni msabato halisiWangekua Freemason wala hata huo walaka usingeuona
Unampigia mbuzi gitaaKuwa wasabato hakuwaondoleeni haki yenu ya kuwa raia
Sawa.Ukiindoa RC.
Dhehebu la pili Duniani kwakua na Taasisi nyingi zitoazo huduma Jamii ni WASABATO.
SDA kanisa la Mungu linalojielewa.Nimearifiwa kanisa la sabato linapanga kukutana pmj na mambo mengine litajadili mwenendo wa nchi tangu 2021 hadi sasa
Kiongozi mmoja wa Kanisa amesikitishwa na watu kuwekwa ndani kwa kukosoa mkataba wa bandari
Kila la kheri sabato
Taarfa zaidi zitafuata
Kinakalounga Mkono Dpw ni Mwamposa tu na Kuhani Musa.Ukiindoa RC.
Dhehebu la pili Duniani kwakua na Taasisi nyingi zitoazo huduma Jamii ni WASABATO.
Nimewaambia Hapo juu. As long as hawajagusa Imani ya kusali siku ya sabato (Jumamosi) hawawezi kujiingiza kwenye swala lolote la kisiasa.Sahau kabisa Kanisa la Waadventista Wasabato kujihusisha na jambo LOLOTE la kisiasa na uchumi kwa jambo LOLOTE. Sahau. Mimi ni kiongozi ndani ya kanisa hilo. SAHAU!
habari njemaNimearifiwa kanisa la sabato linapanga kukutana pmj na mambo mengine litajadili mwenendo wa nchi tangu 2021 hadi sasa
Kiongozi mmoja wa Kanisa amesikitishwa na watu kuwekwa ndani kwa kukosoa mkataba wa bandari
Kila la kheri sabato
Taarfa zaidi zitafuata
Umeusoma walaka wa Mwaka 2014 au umekurupuka?Sahau kabisa Kanisa la Waadventista Wasabato kujihusisha na jambo LOLOTE la kisiasa na uchumi kwa jambo LOLOTE. Sahau. Mimi ni kiongozi ndani ya kanisa hilo. SAHAU!
Usikurupuke soma kwanzaNimewaambia Hapo juu. As long as hawajagusa Imani ya kusali siku ya sabato (Jumamosi) hawawezi kujiingiza kwenye swala lolote la kisiasa.
Nimeshakwambia, hutoona mkutano wowote wa VIONGOZI wa kanisa wakijadili kuhusu mwendendo wa nchiUsikurupuke soma kwanza