johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Angekuwa wa KKKT ungeshangilia.Mfumo Kigango ndiyi umeshaingia Zanzibar
Udini gani?Harufu ya udini hiyo hapo
MteuleAliyeteuliwa Anaitwa Nani?
KKKT na TAG ni kama mtu na binamu yakeAngekuwa wa KKKT ungeshangilia.
Nyie Bavicha ni bure kabisa!
Amina!Nimekusamehe Bure!!!!
Hahahaaaa....... Yawezekana bwashee!KKKT na TAG ni kama mtu na binamu yake
Shehe mkuu naye akapongeze uteuzi wa Mansour?Askofu mkuu wa Kanisa la kilokole la Tanzania Assemblies of God Dr Barnabas Mtokambali amempongeza Rais wa Zanzibar Dr Hussein Ali Mwinyi kwa kumteua muumini wa Kanisa hilo kuwa mjumbe wa Baraza la Wawakilishi.
Dr Mtokambali alifika Ikulu ya Zanzibar kumfikishia Rais Mwinyi salamu hizo za Upendo.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
hizi doctorate znabidi kuchunguza jamani, hakika cdhani Kama Kuna kiongozi wa dini wa ss atauona ufalme wa mbinguAskofu mkuu wa Kanisa la kilokole la Tanzania Assemblies of God Dr Barnabas Mtokambali amempongeza Rais wa Zanzibar Dr Hussein Ali Mwinyi kwa kumteua muumini wa Kanisa hilo kuwa mjumbe wa Baraza la Wawakilishi.
Dr Mtokambali alifika Ikulu ya Zanzibar kumfikishia Rais Mwinyi salamu hizo za Upendo.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Hakika!La muhimu ni ni mzanzibari
πππ mkuu ndo kusema umenuna au??ππMteule