johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Hahahaaaa.... !πππ mkuu ndo kusema umenuna au??ππ
SawaJohn Abdallah
MmakuaJohn Abdallah
Hahahaaaa ndiyo upi huo?Mfumo Kigango ndiyo umeshaingia Zanzibar
Mbona unakwepakwepaHahahaaaa.... !
Nani?Watu walipokuwa wanapigwa risasi huko Zanzibar kama wanyama wakati wa uchaguzi alikumbuka kukemea?
Bwashee jina siyo imani!Mbona unakwepakwepa
Bwashe hhh.....mtaje Jina basi
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hawa waliouawa siyo watu?Nani?
kwani shida ipo wapi?hizi doctorate znabidi kuchunguza jamani, hakika cdhani Kama Kuna kiongozi wa dini wa ss atauona ufalme wa mbingu
Ule wa kusali litaniaHahahaaaa ndiyo upi huo?
Sababu ni nchi ya magaidiMgalatia wa kwanza nadhani kwenye baraza bila shaka
Wangegawana mshahara?Angekuwa wa KKKT ungeshangilia.
Nyie Bavicha ni bure kabisa!
Wewe unawaza hela tu.Wangegawana mshahara?