Kanisa lakataa msaada wa mbunge aliyelikashifu

Yap kumbe na maaskofu wetu wapo makini eeeh!
 
Du!! Labda ndio alikuwa anaomba radhi kimtindo huo!
 
Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu Amini. na siyo pesa nyambafu sana mbunge huyo.
 
Kwani wale mamia ya waumini wa katoliki walioiasi imani yao ya utatu mtakatifu walishasamehewa ??? Maana waliambiwa watubu na kukili upya imani yao. Sikumbuki kama mbunge huyo aliwahi kuliomba kanisa msahama. Nadhani mh mbunge alikua anataka kulipoza kanisa kwa kutoa msaada. Namshauri aombe msamaha kwa kuikashifu imani katoliki naamini akifanya hivyo misaada yake haitakatiliwa tena. Nadhani kanisa katoliki limekua very smart kwa issue hiyo.
 
Jacob Nkomola anaweza kabisa kuwa alisema hayo maneno. Huyu bwana alikuwa Katibu Mwenezi Chadema some days back then akaondoka kipindi cha SAU kama sijakosea. Ni mtu mwenye kuongea sana na kejeli nyingi. Sasa hivi kumbe yuko CCM. Ni uzao mmoja na kina Lusinde MB aliyemuangusha Malecela. Huyu mwingine alisema milango ya bunge ifungwe halafu wabunge wapigane!
 
Mnyanyaswaji naomba ufafanue uliposema "wakatoliki always ni wabinafsi" maana as long as i know ukiacha serikali kanisa katoliki ndio taasisi binafsi inaloongoza kwa kwa kutoa huduma za jamii kama afya, maji, shule, mashirika ya misaada (caritas n.k), kulea watoto yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu n.k. Je unamaanisha huduma hizi zote zinatolewa kwa wakatoliki peke yao? Sina hakika na hilo ushahidi nilionao unaonesha kwamba huduma hizo zinatolewa kwa watu wote bila kujali dini zao. Mfano ni kijiji cha matumaini dodoma wanalea watoto wote wakiwemo waislamu. Suala la kupora ardhi ya wananchi hata mimi siliafiki hata kidogo hasa kama limefanywa na mtumishi wa mungu. Mamlaka husika zinapaswa kufuatilia na kama ni kweli hatua za kisheria zichukuliwe. Sheria ni msumeno haibagui.
 
Sasa wakristo huyu mbunge anatoa sadaka kwa ajili ya mungu au kwa askofu na itakuaje kiongozi wa dini aanze kuhesabu nani katoa shilingi ngapi au ndio kweli kuwa wakatoliki sio dini bali NG'O na wazee wa sadaka
 

umejuaje ni mkristo?
 


Aisee, mbona watu mna chuki kiasi hiki????
Mnafundishwa wapi kuwachukia binadamu wenzenu kiasi hiki?
 

Big up mkuu, simple solution for stupid minds, unatukana kanisa kisha unalihonga. mpuuzi kweli kweli huyu. Ila si Rukwa, ni Katavi.
 
mh twendeni mbele na kurudi nyuma hv kupora eneo la wazi nayo imekaaje kwa matumizi binafsi.si ndo mambo yanayopigiwa kelele kila siku kudhulumu wananchi?

Mkuu, parokia ya karema ina zaidi ya miaka mia moja. Si ajabu kuwa hilo eneo lilikuwa ni la kanisa, na kwa kuwa hawakuwa na matumizi nalo kwa muda fulani waliamua kuruhusu watoto kucheza mpira hapo. Na hivyo wameona walitumie. Na kanisa katoliki lilivyo si ajabu ukakuta wana hati miliki ya eneo hilo ya tangu mwaka 1961. or before that.
 
hawa katoliki wanamsimamo wa kweli kwani nakumbuka walivyomweleza jk mwanza hadi wananchi wakadhani rais ni photocopy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…