Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hilo nalo neno kakaAlitaka kujitafutia umaarufu kuwa katoa msaada kanisani wakati hiyo hela ni sawa na sadaka ya misa ya jioni ya jumanne tena ya watoto!
Hiyo misaada apeleke Gongolamboto kamwe haiwezi kulinunua kanisa.
Huyo mbunge angekuwa Muislam basi wajinga wangeanza kudai udini huu ila wakristo kwa wakristo washikishane adabu kama vipi mtimue huyo mbunge awe anasali akiwa Dodoma na si huko Rukwa
KANISA HALINUNULIKI KWA PESA yeyote ile
Sasa apo Uislamu unaingiaje?? Nilitegemea ungejibu madai ya ufisadi wa uyo Padre anayepora ardhi ya wanakijiji unakimbia mada. Wakatoliki alwyz wabinafsi sana na wanatamaa utafikiri wataenda na mali makaburini wakifa. Aache upuuzi wake arudishe ardhi ya wanakijiji asilete mambo ya kizamani uyo mvaa kofia ndefu km kishada. Fisadi yeyote lzm alaaniwe awe Padre au yeyote. Usitetee upupu soma vzr madai juu na usiende nje ya mada. Hahahhaha eti Padre mporaji kwa wanakijij maskin duh hii kali. Tutaskia mengi na hizi siasa+dini. Wakatolik wanazid kujianika ktk kujihusisha kwao na siasa kwa chama cha........simoooo
Hiyo misaada apeleke Gongolamboto kamwe haiwezi kulinunua kanisa.
Huyo mbunge angekuwa Muislam basi wajinga wangeanza kudai udini huu ila wakristo kwa wakristo washikishane adabu kama vipi mtimue huyo mbunge awe anasali akiwa Dodoma na si huko Rukwa
KANISA HALINUNULIKI KWA PESA yeyote ile
mh twendeni mbele na kurudi nyuma hv kupora eneo la wazi nayo imekaaje kwa matumizi binafsi.si ndo mambo yanayopigiwa kelele kila siku kudhulumu wananchi?