Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
-
- #21
Unajua kukemea mapepo au unataka yakupate kama yaliyo wapata wana wa Sikewa kwa kudundwa mangumi na mwenye mapepo hadi wakabaki naked πHahahaha twende AISEEE, Mimi halinishindi kama Lina waumini
Hivi ulikuwa mwana familia wa Love church mkuu?Tatizo alikuwa hafanyi βmiujizaβπππ awaulize wenzake.
HahahahahaWaumini walikuwa hawatoi sadaka za kutosha kuendesha kanisaπππ.
Ulipe kodi ya eneo, ulipe umeme, maji, wapiga vyombo, fanya masihara nini..π
HahahahahaTatizo alikuwa hafanyi βmiujizaβπππ awaulize wenzake.
Masanja na Mc pilipili ni pipa na mfuniko wote ni wa kugegedewa wake zao πSema huyu mgogo ni mshamba wa mapenzi kama masanja na wote wamepigwa matukio
Aaaaaahhh wee! Mimi nasali KKKT mkuu hawa wachungaji uchwara hawanipati.Hivi ulikuwa mwana familia wa Love church mkuu?
Kumbe πAaaaaahhh wee! Mimi nasali KKKT mkuu hawa wachungaji uchwara hawanipati.
kwani mkewe kampigaa tukio tena???Sema huyu mgogo ni mshamba wa mapenzi kama masanja na wote wamepigwa matukio
huwa wanashtukaa kama wanapigwaaa...!!Ajiite "Nabii, Kuhani au Mtume" atawapata mbona kondoo ni wengi tu.
huyu bwana two-two kwakweli ni job true trueKazi kweli kweli....
Job true true....
Yale yalekwani mkewe kampigaa tukio tena???
Hahahahaaaaaaa Mungu adhihakiwii mpwaa anakunyooshaa hapahapa dunianSema huyu mgogo ni mshamba wa mapenzi kama masanja na wote wamepigwa matukio
Kwa mwenendo wa kushindwa kanisani huenda alitaka kupita geti la uani na chombo cha moto huyu" Ni kweli nimegombana na mke wangu na chanzo cha kugombana na mke wangu sio kuzaa na mwanaume mwingine kama watu wanavyosema, bali tumepishana kwa mambo yetu mengine na tunazungumza ili kuyamaliza".
Wanazingua hawa watu tunataka kuangalia mpira wao wanakata umemeMtafute Jacob huyu ukitaka hata masaki wallet giza wanalalaa...sijui anapatikanaje