Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 530
- 1,446
Nani kasema kulia ni ishara ya ujazo wa roho MTAKATIFU?"Maisha yamekuwa magumu hadi ukienda kanisani kipindi cha maombi unalia na kuomba kwa uchungu watu wanafikiri umezama kwenye maombi kumbe ni uchungu wa maisha magumu."
Kutoa ya moyoni na kulia ni tiba. Kulia mbele ya madhahabu bila shaka itakuwa na carthasis kubwa zaidi. Wanafanya jambo jema na watiwe moyo badala ya kusimangwa."Maisha yamekuwa magumu hadi ukienda kanisani kipindi cha maombi unalia na kuomba kwa uchungu watu wanafikiri umezama kwenye maombi kumbe ni uchungu wa maisha magumu."
๐๐๐Walokoleee mkuu na wanasemaa watu wanene Kwa lughaNani kasema kulia ni ishara ya ujazo wa roho MTAKATIFU?
Ivi mtu mzima unaliaje mbele za watu"Maisha yamekuwa magumu hadi ukienda kanisani kipindi cha maombi unalia na kuomba kwa uchungu watu wanafikiri umezama kwenye maombi kumbe ni uchungu wa maisha magumu."