Kanitapeli, naweza nikamshitaki au imekula kwangu

Kanitapeli, naweza nikamshitaki au imekula kwangu

LEGE

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2011
Posts
5,122
Reaction score
9,209
wakuu heshima kwenu.nilikuwa naomba msaada wenu kwa hili.
nilikuwa nataka kuagiza mashine ya kuprogram immobilizer lakini mm nilikuwa sina kadi wala acount ya paypal bali kuna mdau ambaye ni member wa hum jf ambaye first time alishawahi nisaidia nikawa nimeongea nae akasema haina shida atanisaidia.

jamaa akadai pesa nimtumie kwenye acount ya baclays nikamtumia kiasi cha laki 4 na elfu 40 baada ya kumtumia jioni akadai kuwa rate ya dola imepanda hivyo nimwongezee pesa mm nikamtumia.kwenye m pesa kiasi cha shilingi 50 elfu.matokeo yake baada ya kumtumia pesa akaanza kunikwepa nikimpigia hapokei.

nikimtumia.sms hajibu.

na now kaamua kuni block kabisa.

ushauri wenu wakuu je ni njia gani au ni namna gani naweza zifuata ili nipate haki yangu??.

na je kama nakwenda polisi nandika statement gani??

au ndio niisahau.

najua ww jamaa utapita tu hapa.
kwa kawa
 
Mtaje jina au andika kwa invisible message akusaidie. Ila ukienda kuripoti polisi wataweza pata data zake toka kwa wakuu wa JF.

Pia kama una risiti ya uliyofanya malipo hayo kwenye account hiyo ndio kidhibitisho kikuu. Na kama unayo toa copies ili usiipoteze.

Si alikupa jina la kulupia au ukiingiza tu, wana wa baclays pia wanaweza kukutafuta wakakusaidia.

Ila ndio utapeli wa mtandaoni huu, sijui ulionana nae sura pia au la?

Pole
 
Tumia mawasilian yako ya Pm, na risit za bank kama visibitisho. Bonga na mods wakusaidie zaidi
 
Mtaje jina au andika kwa invisible message akusaidie. Ila ukienda kuripoti polisi wataweza pata data zake toka kwa wakuu wa JF.

Pia kama una risiti ya uliyofanya malipo hayo kwenye account hiyo ndio kidhibitisho kikuu. Na kama unayo toa copies ili usiipoteze.

Si alikupa jina la kulupia au ukiingiza tu, wana wa baclays pia wanaweza kukutafuta wakakusaidia.

Ila ndio utapeli wa mtandaoni huu, sijui ulionana nae sura pia au la?

Pole

jamaa namfaham tushaonana naye najua hata uzi huu atakuwa anausoma na mm nishamsaidia kuna ishu mbili tatu.
namfaham mpaka majina yake yote matatu.

jamaa ni member hum risiti ya bank mpaka leo hii ninayo.

wakuu mm namtaja ila sijui kama nitakuwa nakiuka sheria za jf kwa kuwa tulikutana na kufahamiana hapahapa jf naamini hata kuachana tutaachana hapa hapa jf.hata kama nitapigwa bana haina shida nikatika kutetea haki yangu.

na naamini haki yangu lazima nitaipata tuu hata kama ikiwa ni baada ya 10 yrs kwa njia yoyote ile.

tapeli wangu anaitwa WILIAM MKUDE humu anafahamika kwa id ya Chipukizi

najua hum nimaarufu sana.

mkuu nirudia tena kukwambia kuwa jasho langu kamwe haliwezi kudhurumikaa kama ww unavyofikilia au ulivyofanya.
 
Last edited by a moderator:
jamaa namfaham tushaonana naye najua hata uzi huu atakuwa anausoma na mm nishamsaidia kuna ishu mbili tatu.
Namfaham mpaka majina yake yote matatu.

Jamaa ni member hum risiti ya bank mpaka leo hii ninayo.

Wakuu mm namtaja ila sijui kama nitakuwa nakiuka sheria za jf kwa kuwa tulikutana na kufahamiana hapahapa jf naamini hata kuachana tutaachana hapa hapa jf.hata kama nitapigwa bana haina shida nikatika kutetea haki yangu.

Na naamini haki yangu lazima nitaipata tuu hata kama ikiwa ni baada ya 10 yrs kwa njia yoyote ile.

Tapeli wangu anaitwa wiliam mkude humu anafahamika kwa id ya chipukizi

najua hum nimaarufu sana.

Mkuu nirudia tena kukwambia kuwa jasho langu kamwe haliwezi kudhurumikaa kama ww unavyofikilia au ulivyofanya.

umenidhalilisha sana,kwa juzi nilikwambiaje? Ok waambie jf members wakulipe,mi sikupi nenda kashitaki
 
Last edited by a moderator:
Du... Watu humu wanaingizana kingi namna hii, hatari hii!.
 
umenidhalilisha sana,kwa juzi nilikwambiaje? Ok waambie jf members wakulipe,mi sikupi nenda kashitaki

Mbona ID ingine na sio ya Chipukizi, naona bado unataka kuibia watu.

Lipa pesa ya watu acha utapeli
 
umenidhalilisha sana,kwa juzi nilikwambiaje? Ok waambie jf members wakulipe,mi sikupi nenda kashitaki

Acha utapeli siku utakapokuja kukamatika utajutraaaa jifanye mjanja. Hakuna marefu yasio na ncha.
 
umenidhalilisha sana,kwa juzi nilikwambiaje? Ok waambie jf members wakulipe,mi sikupi nenda kashitaki

mkuu hahaha haha acha masihara.
kuna ishu zakuleta utani aisee.na sio kila mda wakulazimisha utani pasipo na utani??.

okey kama wewe ndio Chipukizi umekuja na ID nyingine haina shida fanya basi naomba unirejeshee pesa zangu.

ila naona umebugi kidogo maana mm na Chipukizi hatuja wasiliana kuna kitambo kdg cha mda so hiyo juzi uisemayo ww ni ya lini??
 
Last edited by a moderator:
mkuu hahaha haha acha masihara.
kuna ishu zakuleta utani aisee.na sio kila mda wakulazimisha utani pasipo na utani??.

okey kama wewe ndio Chipukizi umekuja na ID nyingine haina shida fanya basi naomba unirejeshee pesa zangu.

ila naona umebugi kidogo maana mm na Chipukizi hatuja wasiliana kuna kitambo kdg cha mda so hiyo juzi uisemayo ww ni ya lini??

Si umeamua kunianika,okay subiri!
 
Last edited by a moderator:
Si umeamua kunianika,okay subiri!

mkuu haina shida kama kunitapel ushanitapeli na kama ww ndio Chipukizi wanitisha kihivyo juu ya zile sms ulizonitumia za kunidhuru kwangu haina shida unanifanya nizidi kukufikiria zaidi in short mm sms zako zooote ninazo kuanzia kwenye watsapp mpaka text so utakuwa ni ushahidi tosha na mpaka risit niliyoweka pesa kwenye acount yako bado ninayo nadhani vitanisaidia kama ushahidi.

naamini hapa jf ndio tulipofahamiana na kukutana na nisehem nzuri pia ya kukutafuta au kuagana pia.ila kumbuka dar sio kubwa sana.

na kwakuwa ulisema unaishi madukani sinza naamini tutakuja onana tuu mkuu.

siku zote mtu dhuruma na tapeli mwisho wake huwa sio mzuri.kama sio kifo basi huishiwa kuishi maisha ya uchizi.

mm nimnyonge leo ila kamwe sito kuwa mnyonge milele mbele yako.

nakuahidi mkuu nitadai pesa yangu kwako mpaka siku naingia kaburini na hata nikifa au ukitangulia kufa siwezi kusamehe pesa yangu kwako.
 
Last edited by a moderator:
mkuu haina shida kama kunitapel ushanitapeli na kama ww ndio Chipukizi wanitisha kihivyo juu ya zile sms ulizonitumia za kunidhuru kwangu haina shida unanifanya nizidi kukufikiria zaidi in short mm sms zako zooote ninazo kuanzia kwenye watsapp mpaka text so utakuwa ni ushahidi tosha na mpaka risit niliyoweka pesa kwenye acount yako bado ninayo nadhani vitanisaidia kama ushahidi.

naamini hapa jf ndio tulipofahamiana na kukutana na nisehem nzuri pia ya kukutafuta au kuagana pia.ila kumbuka dar sio kubwa sana.

na kwakuwa ulisema unaishi madukani sinza naamini tutakuja onana tuu mkuu.

siku zote mtu dhuruma na tapeli mwisho wake huwa sio mzuri.kama sio kifo basi huishiwa kuishi maisha ya uchizi.

mm nimnyonge leo ila kamwe sito kuwa mnyonge milele mbele yako.

nakuahidi mkuu nitadai pesa yangu kwako mpaka siku naingia kaburini na hata nikifa au ukitangulia kufa siwezi kusamehe pesa yangu kwako.

We police na mahakama zipo,nenda!
 
Last edited by a moderator:
We police na mahakama zipo,nenda!

mkuu police siendi kirahisi rahisi najua ww unanguvu ya pesa so kupata haki yangu nikikurupuka sio rahisi kihivyo.

naona hii ni id yako mpya kwangu haina shida au waja kijanja kwa kuwa nimekutaja kuwa ww ni Chipukizi?? haina shida hizi id sio ishu soon naweka na picha yako tuone nayo kama utaikimbia kama ulivuoikimbia id yako ya Chipukizi
 
Last edited by a moderator:
We police na mahakama zipo,nenda!
MkuuOKO !! Tafadhali sana mrudishie hela yaketaslimu kama huna mpango wakutimiza ahadi.... Yaani unamtishia POLISI,Mahakama !! Wewe hujui Kuna MUNGU mbele yako ambaye ndiyo Polisi mkubwa wa kila jambo...!!

Fanya uungwana 450k ni fedha ndogo sana ukithamini na afya yako!!
nawatakia maelewano bila Laana kumkumba mtu.
LEGE fuatilia haki yako hata kwa maombi ya usiku wa manane.
 
Last edited by a moderator:
mkuu police siendi kirahisi rahisi najua ww unanguvu ya pesa so kupata haki yangu nikikurupuka sio rahisi kihivyo.

naona hii ni id yako mpya kwangu haina shida au waja kijanja kwa kuwa nimekutaja kuwa ww ni Chipukizi?? haina shida hizi id sio ishu soon naweka na picha yako tuone nayo kama utaikimbia kama ulivuoikimbia id yako ya Chipukizi

Nabado,we subiri tu!
 
Last edited by a moderator:
MkuuOKO !! Tafadhali sana mrudishie hela yaketaslimu kama huna mpango wakutimiza ahadi.... Yaani unamtishia POLISI,Mahakama !! Wewe hujui Kuna MUNGU mbele yako ambaye ndiyo Polisi mkubwa wa kila jambo...!!

Fanya uungwana 450k ni fedha ndogo sana ukithamini na afya yako!!
nawatakia maelewano bila Laana kumkumba mtu.
LEGE fuatilia haki yako hata kwa maombi ya usiku wa manane.

We naye umeamua kuvaa kiatu kisiko saiwe ya wewe!
 
Last edited by a moderator:
Matapeli yamejaa yanakula hela za watu,wakati vyombo vya usalama vipo kwa ajili yao,usitetereke uliopigwa tukio,sio polisi wote wanapenda rushwa nenda ngazi ya juu kwa rpc na yeye ndio atakupa msaada wa moja kwa moja wa kupa mpelelezi atakaye kusaidia usiogope kufuatilia mali yako,na wewe inakuaje unamwamini mtu uliokutana naye mtandaoni,iwe funzo kwako na kwa wengine.
 
Back
Top Bottom