Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kumbe kana njaa hivi
Kule siasani kana fujo utadhani JPM Ni babake[emoji2][emoji2]
Kumbe nawe mwizi kama baba yako?Nimemkomesha. Kanitumia nauli akajua nitaenda mimi sijaenda. Ananipigia sipokei. Akiendelea nampiga block
Basi tuKwanini hauamini
Ccm ndo mlivyo, mmezoea dhulma, mrudishie hela yake, sasa kama hutaki kwenda hela ya watu umechukua ya nini, hivi dunia ya leo kweli ni ya kukimbia na pesa ndogo kama nauli, mbona unajishusha hadhi sana dear, thamani yako na utu wako ni kubwa kuliko hiyo nauliNimemkomesha. Kanitumia nauli akajua nitaenda mimi sijaenda. Ananipigia sipokei. Akiendelea nampiga block
Unaweza sema kwanini sio busara?Huu uzi ni wa zamani sana. Sidhani kama ni busara kuufufua
Anatia shakaBasi tu
πππππUkitoka hapo tukutane mlima moto kwa maombezi ya kupata bwana.