Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Na kamvua haka.....
Na kamvua haka aliyetuma nauli atakuwa anaumia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kamvua haka.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukitoka hapo tukutane mlima moto kwa maombezi ya kupata bwana.
Njoo bbyNimemkomesha. Kanitumia nauli akajua ntaenda mi sijaenda. Ananipigia sipokei. Akiendelea nampiga block
Be careful I'm Da'VinciHivi wewe ni nani hasa? Sina uhakika kama ni wewe kwenye avatar hapo. Maana unashusha za moto,za ukweli sana. Nahisi utakuwa “me”
Hivi wewe ni nani hasa? Sina uhakika kama ni wewe kwenye avatar hapo. Maana unashusha za moto,za ukweli sana. Nahisi utakuwa “me”
Naona wanaume wanavyotokwa mapovu!!😂😂😂😂
Inauma lakini!
Duh! Hili dingo?Dada yako, Marehemu alikuwa anaitwa Beatrice Mvungi,
Yeye mwenyewe alikuwaga Jambazi wa kukimbia na pesa za wanaume kama wewe, ila unakumbuka vzr kilichompata Dada ako
Unamjua? Usipende kutaja majina humuDada yako, Marehemu alikuwa anaitwa Beatrice Mvungi,
Yeye mwenyewe alikuwaga Jambazi wa kukimbia na pesa za wanaume kama wewe, ila unakumbuka vzr kilichompata Dada ako
Unanijua unanisikiaNi kawaida yenu umalaya si unaona hata baba ako
Tofauti yeye ni malaya kisiasa
Tulia dadaUnaliaibisha hilo jina la mwisho..haijalishi ni mzazi wako au lah..
Mi mtoto wa kiArusha weweSoon dawa yako ipo jikoni. Usione wale gunia 2 za mkaa,risasi 3 za kifua,mapanga 8 ya kichwa,ukafikiri mambo yalianzia kwa shetani. Yalianza mdogo mdogo kama unavyotaperi hivi. Usifikiri mabaharia wanatulia tu wakiibiwa
Unajua nauli ya daladala. PoleeeNdio shida yenu.
Kwani nauli sh ngapi?
Haizidi hata elfu 20.
Hauwezi kunikomoa kwa elfu 20.
Mi mjanja balaaaa. Wajingawajinga wanajichanganyaKarma is a bitch, ipo siku na ww utatuma nauli
Siyo mla mimi lakiniMla uliwa usisahau
Nimemkomesha. Kanitumia nauli akajua ntaenda mi sijaenda. Ananipigia sipokei. Akiendelea nampiga block
wajinga wajingaMi mjanja balaaaa. Wajingawajinga wanajichanganya