Kanitumia nauli, sijaenda

Kanitumia nauli, sijaenda

[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji116][emoji116][emoji116][emoji124][emoji124][emoji124]
Dada yako, Marehemu alikuwa anaitwa Beatrice Mvungi,
Yeye mwenyewe alikuwaga Jambazi wa kukimbia na pesa za wanaume kama wewe, ila unakumbuka vzr kilichompata Dada ako
 
Kapost chitchat lakini naona mabaharia wamechukulia serious mno
 
Nimemkomesha. Kanitumia nauli akajua nitaenda mimi sijaenda. Ananipigia sipokei. Akiendelea nampiga block
Alafu hapo ukute ushakula hela ya Baharia,una element za kimalaya wewe badilika,,,mwambie mtu ukweli
 
Sijui kwa nini huwa siamini kuwa mwenye hii I'd ni wa kike kweli
 
Kumbe hii tabia ya kujiuza na kutapeli watu umeianza siku nyingi eh! Kumbuka za mwizi ni arobaini.

Nimemkomesha. Kanitumia nauli akajua nitaenda mimi sijaenda. Ananipigia sipokei. Akiendelea nampiga block
 
Back
Top Bottom