KANJANJA LA CLOUDS: sema na hili la mrundi usigharamiwe harusi

Kujificha kwenye ID fake kusikufanye Uwe mpumbavu. Mods Tunaomba uthibitisho wa huu ujinga au chukueni hatua. Ushabiki wa mpira usikiuke Maadili ya faragha za watu. Huyu ni Daktari hadi aseme magonjwa ya watu?
 
Utopolo wanataambaa na chezaji la Newcastle [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kujificha kwenye ID fake kusikufanye Uwe mpumbavu. Mods Tunaomba uthibitisho wa huu ujinga au chukueni hatua. Ushabiki wa mpira usikiuke Maadili ya faragha za watu. Huyu ni Daktari hadi aseme magonjwa ya watu?
We mjinga ,rangers hakucheza sababu ya medical condition...magazeti ya uk yenyewe yameandika ni hepatisis c na snapshot nimeweka we unakuja kulialia hapa,Hovyo kabisa...tungekuwa na waandishi wa kueleweka hili swali angeulizwa sema yamejaa machawa tu
 
Utopolo wanataambaa na chezaji la Newcastle [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawaaambia wa google...gael bigirimana medical condition..hepatasis c...rangers loan....hawataki ni vitisho na matusi utadhani habari nimejitungia
 
Hajasoma udom huyo Mangi, kasoma SUA. Kazi yenyewe kapewa kwa connection ya Mangi mwenzake aliyepo hapo Mawinguni na Wachaga ndo zao hizo kubebana alafu wanashinda humu wanajisifia kusoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…