Kanoute hana ubora wa kucheza Simba

Namtukana anaenza kunitukana huwa sianzi matusi hovyo hovyo. Tunataniana kawaida basi japo matani mengine yanakera ila hamna haja ya matusi.
Sio wewe popoma ni jamaa ivi boya sana ana matusi
 
Tuma number PIEMU

Yaani anataja hapa mtandao, halafu unatafuta vocha unakwangua unaipiga picha unamtumia PM atapambana nayo huko namba hua siamini hata mimikudisplay kwa mtu jukwaani kizembe na sijawahi
 
Yaani anataja hapa mtandao, halafu unatafuta vocha unakwangua unaipiga picha unamtumia PM atapambana nayo huko namba hua siamini hata mimikudisplay kwa mtu jukwaani kizembe na sijawahi
Sure watu sio wema humu kabisa bora kuto kuji expose
 
Matola
Mgunda hawatatufikisha popote pale
 
Kanoute nilimuona zaman sana kama mchezaji wa kawaida kabla ajazaliwa
 
Mwanzo mlisema banda sio mchezaji baada ya mechi ya jana kila mtu anasema banda angeanza simba angeshinda kweli soka letu kivyetu vyetu.
 
Ongezea na Ndala wa Azam Yuphus alitumia nguvu ya pesa dk ya mwisho na alienda mwenyewe kumalizana na mchezaji.
 
Ila Simba ikifanya vizuri sifa zote zinaenda Kwa mo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…