Kansa stage 4 kufika

Kansa stage 4 kufika

Stage hiyo hakuna dawa inayosikia.
Just only two ways.
1. Kusubiri kifo
2. Yesu amponye . Hii ya Yesu kumponya ni simple ila kwa maombi ya watumishi matapeli haiwezekani
Dah I see hakuna aliyewahi kupona stage hiyo
 
Mkuu
Pole sana kwa kumuuguza mama
Kwa hali aliyofikia ni ngumu kupona kabsa
Kansa nyingi zinatibika stage ya kwanza na ya pili
Ila stage ya nne inakua imeshasambaa sana
Mungu amsaidie tu kwenye palliative care kusubir siku ziende
Pole sana 🙏
 
Mkuu
Pole sana kwa kumuuguza mama
Kwa hali aliyofikia ni ngumu kupona kabsa
Kansa nyingi zinatibika stage ya kwanza na ya pili
Ila stage ya nne inakua imeshasambaa sana
Mungu amsaidie tu kwenye palliative care kusubir siku ziende
Pole sana 🙏
Amen
 
Cancer haijawahi kutibiwa na maombi, maombi ni hatuza za watu wasiopenda kutumia akili/ waliokataa tamaa na maisha.

Stages za cancer zinaVary kila mwaka kutokana na ukubwa wa tumor na jinsi ilivoenea katika mwili
Kama ipo kwenye kizazi Dr anaweza kushauri a ampute kizazi (binadamu huishi bila kizazi)
Pia Dr anaweza kutoa kati ya hizi option
1. Chemotherapy
2. Radiation therapy
3. Hormonal Therapy
4. Immunotherapy
5. Stem cell transplant

Cancer Stage 4 sio mwisho wa maisha, hayo maombi hayatakusaidia chochote, specialist ndio wenye uwezo wa kutoa result ya kipi kifanyike.
 
Back
Top Bottom