Kansa stage 4 kufika

Kansa stage 4 kufika

Cancer haijawahi kutibiwa na maombi, maombi ni hatuza za watu wasiopenda kutumia akili/ waliokataa tamaa na maisha.

Stages za cancer zinaVary kila mwaka kutokana na ukubwa wa tumor na jinsi ilivoenea katika mwili
Kama ipo kwenye kizazi Dr anaweza kushauri a ampute kizazi (binadamu huishi bila kizazi)
Pia Dr anaweza kutoa kati ya hizi option
1. Chemotherapy
2. Radiation therapy
3. Hormonal Therapy
4. Immunotherapy
5. Stem cell transplant

Cancer Stage 4 sio mwisho wa maisha, hayo maombi hayatakusaidia chochote, specialist ndio wenye uwezo wa kutoa result ya kipi kifanyike.
Ahsante kumbe uwezekano wa kupona upo
 
Stage hiyo hakuna dawa inayosikia.
Just only two ways.
1. Kusubiri kifo
2. Yesu amponye . Hii ya Yesu kumponya ni simple ila kwa maombi ya watumishi matapeli haiwezekani
Ya pili literraly umemwambia halipo ni fiction..yesu utampata wapi ???
 
S

Serious, sio fix jambo hili ni serious, na yule mzee ukifika kwake anafuga nyuki, kuna majambo tu yamemkwamisha.

Siwezi kutoa sana details zote hapa, ila jambo ni serious.
Sumu hiyo unaipataje makaveli
 
Mama Kwa hatua aliyopo anahitaji tu Palliative Care, awe karibu na Mungu na Upendo wa kutosha kutoka Kwa wanawe.

Stage 4 maana yake Kansa ni ama imeshafika kwenye kibofu au Mfumo wa chini wa Chakula, au Kwenye Ini, mapafu , mifupa.

Survival ya hatua hii Huwa ni chini ya miaka mitano tangu kugundulika.

Haina matibabu ya kuiponya, sana sana lengo ni kupunguza Kasi ya Ugonjwa kusambaa maeneo mbalimbali ya mwili.

Pole sana Mkuu,tuwapende Mama zetu .
 
Sumu hiyo unaipataje makaveli
Vipo vifaa vya kuvuna sumu, lakini hata nyuki wenyewe kukugonga inapunguza uwezekano wa kupata kNsa.

Sasa ili iwe tiba inabidi upate sumu ml ngapi na kwa muda gani ndio ye mwenyewe hakufanikiwa kufika huko.
 
Wadau Habari zenu
Mama yangu anasumbuliwa na kansa ya kizazi imefika stage 4 hivi hii stage kuna wagonjwa wamewahi survival
Kwanza pole sana mkuu, Wapo stage 4 waliopona ila wanatofautiana aina ya cancer,

kama familia inakipato kizuri unaweza ingia kwnye mtandao ukaangalia clinical trials mbali mbali kwenye nchi za nje kama Canada, USA, Japan, Sweden etc, hizo trials zinakuwa ni kama tafiti wakitafuta watu wamajaribio, na kuna watu zimewasaidia either kuwaponesha au kuwaongezea muda, ila pia ni ishu ya life and death maana ni trial, ila ni bora kujaribu kuliko kuacha.

Kama Clinical trial haiwezekan basi hakikisha lifestyle ya mama inabadilishwa, achana na vyakula vile vya kiswahili, ingia mitandaoni ujue jinsi ya kutengeneza salad, medicinal food, na other Asian food, hizi zitaboost afya ya mama, na mazoez kila siku (yaan kila siku).
 
Mama Kwa hatua aliyopo anahitaji tu Palliative Care, awe karibu na Mungu na Upendo wa kutosha kutoka Kwa wanawe.

Stage 4 maana yake Kansa ni ama imeshafika kwenye kibofu au Mfumo wa chini wa Chakula, au Kwenye Ini, mapafu , mifupa.

Survival ya hatua hii Huwa ni chini ya miaka mitano tangu kugundulika.

Haina matibabu ya kuiponya, sana sana lengo ni kupunguza Kasi ya Ugonjwa kusambaa maeneo mbalimbali ya mwili.

Pole sana Mkuu,tuwapende Mama zetu .
Hii hata chrome vp haiwezekani kwa hiyo mgonjwa kukaa anakuwa hawezi
 
Stage hiyo hakuna dawa inayosikia.
Just only two ways.
1. Kusubiri kifo
2. Yesu amponye . Hii ya Yesu kumponya ni simple ila kwa maombi ya watumishi matapeli haiwezekani
Yesu kashindwa kujiponya asitiwe mijeredi pale msalabani, ataweza kumponya mgonjwa wa kansa? Ivi nyie watu wa dini mmerogwa au, Uyo mungu wenu alikuwa anakunya, anajamba,anasimamisha zakari kwa matamanio akiona msambwanda, hizo sifa zote zinatosha kuonyesha kwamba hakuwa mungu,


Dini zitawatia uchizi,ukute we nawe msomi una kadegree
 
Back
Top Bottom