Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Wadau
Kwa mujibu wa watafiti kutoka Taasisi ya Utafiti ya Karolinska Stockholm nchini Sweden Wanaume wasiokula sana Samaki wenye mafuta wanauwezekano mkubwa sana wa kupata Kansa ya kibofu Mara 2 au 3 kuliko wanaume wanaokula sana Samaki wenye Mafuta.
Karibuni
NB: Samaki wenye mafuta ni jamii ya 'Salmon' na 'herring'
Kwa mujibu wa watafiti kutoka Taasisi ya Utafiti ya Karolinska Stockholm nchini Sweden Wanaume wasiokula sana Samaki wenye mafuta wanauwezekano mkubwa sana wa kupata Kansa ya kibofu Mara 2 au 3 kuliko wanaume wanaokula sana Samaki wenye Mafuta.
Karibuni
NB: Samaki wenye mafuta ni jamii ya 'Salmon' na 'herring'