Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Pole sana mkuu, aisee kansa sio poa. Tupende na tutunze afya zetu jamani.
 
Akitumia alkaline foods atapona maana saratani inapenda acidic environment.
 
Naelewa Mkuu kuwa unapitia changamoto kubwa lakini kwa experience yangu ya watu wa karibu waliopata kansa hakuna aliyepona.

Ila kilichowasaidia kuwa at least vizuri na kuongeza urefu wa maisha kiasi ni diet tu haswa kuepuka sukari

Pia kutumia sana juice ya carrot plain lakini na ya stafeli ambapo unachemsha majani yake lakini pia anakula tunda lake

Yote kwa yote bado naamini katika Mungu, yawezekana kwangu sikuona aliyepona au kuishi muda mrefu baada ya kupata cancer lakini kwako ikawa ni story tofauti.

Mungu akutie nguvu pia maana si kitu rahisi 🙏🏽🙏🏽
 
Pole sana

Ni maombi yetu kwa Mungu amponye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Uchawi is real.

Kwamba asisite kumpeleka kwenye TANURU LA MIONZI licha ya kwamba AMESHAUNGUZWA VYA KUTOSHA!!

Asisite aende tena na tena 😂😂😂😂🙈🙈🙈
 
Kila mtu kwa zamu yake na kila mtu atapatilizwa kwa namna yake. Kuna msemo siku hizi nimeanza kuuelewa, "tuombeane mwisho mwema"!
Pole sana kwa muuguzi na pole nyingi sana kwa mgonjwa, ni kipindi kigumu nadhani kuliko vyote katika maisha yetu.
 
Alkaline food ni zipi uizo ?

Acidic food ni zipi hizo na mifano ?

Asante

Alkaline Foods​

  • Most fruits
  • Non-starchy vegetables like dark, leafy greens
  • Sea vegetables (kelp, seaweed, dulse)
  • Soy
  • Beans/Legumes
  • Potatoes
  • Avocados
  • Sprouts (soy, alfalfa, bean)
  • Cucumber
  • Broccoli
  • Himalayan salt
  • Nuts
  • Quinoa
  • Millet
  • Parsley
  • Seeds
  • Olive oil
  • Coconut oil
  • Almond milk

Acidic Foods​

  • Cheese
  • Meat, especially processed meat
  • Seafood
  • Brown rice
  • Yeast
  • Mushrooms
  • Carbonated beverages such as soda and seltzer
  • Coffee and caffeinated drinks
  • Protein supplements
  • Refined sugars
  • Salty foods
  • Eggs
  • Alcohol
  • Processed foods
 
Mkuu naona unamdanganya mgonjwa

Yaani cancer itibiwe na mitishamba?

Like really?

Tusidanganyane bwana

Hakuna useless tiba kama hizi za mitishamba,siku hizi zimepewa jina eti tiba mbadala,sio tiba mbadala ni miti shamba!

Ukijua definition ya cancer utajua directly tiba za mitishamba ni uongo mtupu!

Muache aende hospitali waue hizo cancerous cells usituletee uongo wa mitishamba bwana
 
Jamaa unazingua Sana, binafsi nawafahamu wagonjwa wa cancer waliopona. Nina mtu alienda south Africa kutafta Tina alifeli ,saizi yupo mtAani kApona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…