Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Anahitaji msaada sio waraka
 
Pole Sana Ndugu. Usikate Tamaa.
Omba na Muamini Mungu, atamponyesha.
Muambie Mgonjwa Pole. [emoji120]

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Hiyo damu ya yesu ilikuwa wapi kumkinga asipate maradhi
 
Hebu mtaalam tuambie ,kuna aina ngapi ya cancer za matiti? Wewe unaweza kutibu aina ipi ya cancer ya matiti?
Ni uzushi na ujuha kudhani kwamba kila kansa ina tiba yake.

Iwe kansa ya utumbo,ya ini,ya mapafu,ya matiti bado tiba za mahospitalini ni zile zile chemotherapy ama ama surger.

Ila linapofika suala la tiba asili watu wanalazimisha kwamba kila kansa ya sehemu fulani iwe na tiba yake ?
 
Pole sana mkuu, dada yangu aliteseka sana na kansa ya shingo ya kizazi alipofikia stage 3 mpaka mauti.

Kansa inapona ikiwa imewahiwa kwenye stage 1 kama alivyoiwahi kikwete.
Kuna prostate cancer(kansa ya tezi)na benign prostatic hyperplasia(bph)tezi dume.(uvimbe wa tezi)

Kikwete alikuwa na tezi dume au kansa ya hiyo tezi?

Ninachofahamu kowete alikuwa na tezi dume na sio kansa
 
SHukran sana mkuu.

Nilikuwa na hofu isijekuwa hivyo vyakula navyo tumedanganywa.
 
Siku hizi wenzetu Wana kitu wanaita targeted cancer treatment inayohusisha chemotherapy na immunotherapy. Mimi sio mtaalam ila katika kufuatilia ndiyo nimejua hii ishu,kuna aina ya cancer hazikubali chemotherapy pekee mpaka wampige mgonjwa na immunotherapy pia. Bahati mbaya sidhani kama Tanzania kuna huduma ya immunotherapy kwa wagonjwa wa cancer.
 
Hizo dawa alizokunywa Hadi sasa zimeleta usalama was afya take kwa kiasi Gani!!?

Urea from a mammal haijawahi kuwa toxic kama ammonia!!

Hizo medicine from hospital are More toxic than own urea plus water!!
Fikiria unachoshauri kwa makini kidogo.

Mgonjwa ametumia mionzi, chemo, upasuaji na dawa zingine.

Mgonjwa ana kidonda kisichopona, yupo stage three ya cancer. Unamshauri anywe mkojo wake!

Mkojo pamoja na urea, pia una ammonia, salts na kiasi kidogo cha bacteria, na waste products nyingine.

Akinywa mkojo itafanya mwili wa ufanye kazi ya ziada kuchuja uchafu mara ya pili.

Ukizingatia mgonjwa hayupo kwenye hali nzuri kiafya, immunity imeshuka, mwili dhaifu sasa hivi,
Huo mkojo utakuwaje salama na utamsaidi nini zaidi ya kumsababishia matatizo mengine zaidi?
 
Sahihi mkuu immunotherapy kama ulivyosrma inasaidia kuboost ama kushtua immune system ili iweze kupambana na seli za kansa.

Moja ya sababu ya mtu kupata kansa ni kuwa na low immunity.

Ndio maana logically tu hata hili tunda la mstafeli lina kiwango kikubwa cha vitamic C ambayo ni important vitanic katika kuboost immune system.

So huwenda ika make sense kwamba hili tunda na mfano wake yakawa yanasaidia kupambana na kansa.
 
Dah,nimeumia nafsi,pole sana ndugu,mungu amtilie wepesi!

Hawa matapeli kina mwammposa siwanajifanya wanaponya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…