Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Ipo siku utazitengua hizi kauli,,,,nahisi hujawahi kuumwa na unasema usichokijua kiufupi unaongea ukweli kwa afya yako ya sasa ila yakikuta utaongea lugha nyingine
 
Daah, sadly ni kwamba tumefunga ndoa mwaka 2020 mwezi wa 9, mwaka 2021 akaanza kuumwa mpaka muda huu.
Madaktari wanatibu, Mungu anaponya. Mungu hutumia watu kutibu na kuponya. Uponyaji wa mkeo nauona Kawe kwa Mwamposa Arise & Shine dec 31. Nenda ili jina la Yesu litukuzwe.
 

Tatizo unategemea hadithi za vijiweni, omba mtu akuazime bando utafiti kuhusu shida ya Jobs.
Alianza mionzi wakati it was too late, alianza na huo ujinga wenu wenu wa tiba mbadala hadi akachelewa.
 
Tatizo unategemea hadithi za vijiweni, omba mtu akuazime bando utafiti kuhusu shida ya Jobs.
Alianza mionzi wakati it was too late, alianza na huo ujinga wenu wenu wa tiba mbadala hadi akachelewa.
Sikiliza wewe msukule wa steve jobs. Kwanza huyo steve jobs simjui na sina haja ya kujua stori yake.

Stori ninayoijua ni ya huyu mleta mada. Mkewe kapigwa mionzi mpaka mwili umechakaa, ndio maana yuko hapa kuomba ushauri mbadala.

Ushauri mbadala tunaompa ndio huu. Na ameshanielewa vizuri sana, na anaufanyia kazi.

Endelea kukumbatiana na huyo mmeo steve jobs, wenzako wanasonga mbele na wanachagua kilicho bora zaidi.
 

Nimeishia hapo umesema humjui Steve Jobs, kumbe ni kilaza cha huko Buza, huna lolote la kujadili na mimi....
 
Pole mkuu ,kitu cha kwanza aache kutumia vyakula vyote vya ngano na vinywaj vyote vya viwandani alafu maelekezo Pm huko
 
Sio kila Ugonjwa mwanadamu anao umwa ni mpango wa Mungu
Shetan anaweka Giza katika miili ya watu na ilo Giza linasababisha Mgonjwa Kansa, kisukari na Mgonjwa mengi ili uhai wa mtu uondoke.
Ukidondo ghafla ukafa watu wanasema ushirikina uchawi nao sasa hivi umeendelea wanakwepa Wasiwasi

Tufata mtumishi wa kweli wa Mungu ugonjwa utatoka
Kwako imeshindikana ila kwa Mungu inawezekana

Uzima na Mauti vimo katika ulimi wako usikiri udhaifu
Adui anatumia maneno yako kutimiza lengo
 
Pia aachane kabisa na vitu vya sukari

Ila anitafute kwenye kampuni yetu tunatibu kansa kabisa , kwa dawa asili zenye kanuni ya hali ya juu !
Wasilana nasi dawa za Kansa na aina nyingine nyingi kulingana na tatizo la mtu , muda wa tatizo , athari yake n.k

Tupigie +255757577995 www.heshoutang.com/heshoutang-dar-es-salaam-tanzania-office
 

Attachments

  • FC5B9189-E8A8-456A-A6F9-A78589543998.jpeg
    108.1 KB · Views: 7
Aisee haya sio maneno ya kumwambia mgonjwa , ni aina ya masimango kwani wangapi wanatumia dawa za hospital na wanaoona? Na hawaumwi

Dawa yeyote ina sumu na kemikali ndio maana inaua vimelea ,tunachoangalia ni faida ya ile dawa compare na madhara
 
Pole mkuu,mgeukie Mungu kwa kumaanisha,hajawahi kushindwa kitu,omba na kumueleza unalopitia,fanya maombi na toba ya kweli,hakika utatuletea ushuhuda hapa mkeo amepona...
 

Weka namba
 
Huwa wanasema sukari ni chakula cha kansa. Jitahidi sana aache vyakula vyote vyenye kuzalisha sukani mwilini. Utavijuaje, just google
 
Naomba uelezee basi vitu vinavyosaidia kuua kansa
Soma maelezo yangu pale juu

Sukari kama sukariiii, aachane nayoo. Soda pia ni sukarii, blue band, jam, wali, ugali wa sembe. Sukari tupu hizo.

Chakula salama ambacho hakina masukari ni mtama pamoja na mboga za majani.

Masukari mengi mwilini yanadhoofisha kinga ya mwili, ndio maana mtu anashindwa kupona kansa.

Na kansa ni PARASITIC, ukichukua lile nyama lenye kansa ukalipima kwa kutumia microscopic device ambayo haijachakachuliwa na MAJIZI utaona kuna VIMELEA kwenye lile nyama.

VIMELEA vile vinashindwa kutafunwa na kinga ya mwili kwa sababu kinga ya mwili imefifia na kudhoofu ndo maana madudu yanaotamo.

Sukarii, tindikali kwenye damu, utando kwenye damu, heavy metals kwenye damu, vyote vinaua kinga ya mwili. Madudu yanaota na kumea.

Mchakato mzima wa matibabu ya kansa ni kuifufua kinga ya mwili na kuuweka mwili katika NATURAL AND PURE STATE ili kwamba mwili uweze kupambana wenyewe na kujifufua.

Kuwaangamiza wale madudu (parasites / minyoo-like) waliomea kwenye damu na kwenye organs zingine za mwili, tumia dozi kali ya VITUNGUU SWAUMU na LIMAO kila sikuu bila kukoma.

Yale madudu yakimea sana yanajishikiza kwenye UBOHO / Lymphs — kule ambako kinga ya mwili inajengwa. WANABOMOA na KUTEMA SUMU humo humo AS THEY PARASITIZE.

Mwili unashindwa kuyatafuna madudu kisha KANsa.
 
Amen[emoji120]
 



Mimi sio Dr lakini ushauri wangu

1. Waondoe matiti yote hiyo cancer inamtindo wa kuhamia titi lingine
2. Muhamishie Dar uone kama kuna vipimo vingine na vya mionzi wanaweza kufanya
3. Afanyiwe maombi cancer sio kitu kidogo miujiza ipo

Pole sana sana tatizo la cancer wakati mwingine dawa hazikubali lakini jitahidini kujaribu kila njia. Sehemu ya kuangalia sana ni mapafu ambako ndiyo itaenda kama imeshindikana.
 
Boss Habari ya Leo? Pole sana, Kuna Mfanyakazi mwenzetu alikuwa anauguza Mke wake ugohjwa wa Saratani ya TITI, so yeye kafanikisha, mke wake amepona, alimpeleka MOSHI kwenye Tiba mbadala. Ni SMS nitakusaidia kukulink naye. Pole sana, Shemeji atapona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…