Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Pole sana mkuu, ila kama umeshafanya jitihada zote za matibabu ya hospital imeshindikana jaribu sasa tiba lishe.
Binafsi pia naamini sana kwenye tiba lishe afya ya mwili inakuwa determined sana na vitu tunavyokula.
 
Daaah! hii dunia acheni tu!
MGONJWA WANGU MARA ANAKUA KATIKA HALI YA KULETA MATUMAINI, MARA GHAFLA LINAIBUKA TATIZO JINGINE !

SASA MOYO UMEANZA KUMSUMBUA, MAPIGO YANAENDA KASI ISIVYO KAWAIDA

PIA DAMU INAPUNGUA SANA.

MARA NYINGINE ANAPATA CHANGAMOTO YA UPUMUJI.

Sijui ndo side effects za CHEMOTHERAPY
 
Pole sana Mkuu,atakuwa sawa.
Udhaifu mmoja waweza pelekea mwingine.


Mpeleke hospital wampime magonjwa mengine kama moyo,figo,mapafu,sukari na damu pia,nk

Sometimes naona mgonjwa anapimwa hivi vitu kabla hajaanza chemotherapy.

Pia jitahidi kuzingati lishe.
 
Boss Habari ya Leo? Pole sana, Kuna Mfanyakazi mwenzetu alikuwa anauguza Mke wake ugohjwa wa Saratani ya TITI, so yeye kafanikisha, mke wake amepona, alimpeleka MOSHI kwenye Tiba mbadala. Ni SMS nitakusaidia kukulink naye. Pole sana, Shemeji atapona.
Mkuu
Weka contacts zake kwa faida ya wengine wenye uhitaji.
 
Tupo hospitali mkuu.
Ahsante sana
 
Nimekutumia mawasiliano yake,mtafute
 
Habari za asbh ,mliotaka na nyie namba za yule babu mliosema anatibu Kansa na nyie mnataka namba zake mzisave izo apo ,mwanachemba alinitumia 0626896577

Ulisema yupo Bukoba??
 
Mkuu
Chukua mmea wa cactus chukua na kilo tatu ya unga wa mbegu za parachichi chemsha maji lita tano kisha chuja yapoe kidogo anywe nusu lita ahsubuhi na jioni. Hakikisha anatumia mwezi mzima kisha tuletee matokeo kama anaanza kujisikia vyema.

Rudia zoezi kwa miezi mitatu naamini utaanza kuona matokeo. Akipata nafuu okoa maisha ya wengine kuwaambia ukweli. Usilipie huu ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…