Kansela wa Ujerumani mama Angela Markel apinga uamuzi wa Twitter kumfungia Donald Trump, asema haukubaliki

Kwenye jicho la demokrasia na uhuru wa kujieleza Twitter walikosea kabisa,ILA HAKUNA UHURU USIO NA MIPAKA,amani na utulivu wa nchi ni bora kuliko uhuru wa kujieleza.
Tatizo wamarekani hawajajua 'mchawi' wao au 'wachawi' wao ni nani. Kuna Nancy na Donald wanatunishiana misuri tangu 2016
 
Kwenye jicho la demokrasia na uhuru wa kujieleza Twitter walikosea kabisa,ILA HAKUNA UHURU USIO NA MIPAKA,amani na utulivu wa nchi ni bora kuliko uhuru wa kujieleza.
juzi wachina wazi wazi wameweka nia ya kuua watu wa jamii ya kiislam nchini kwao, hawajafungiwa.

Viongozi wa iran wazi wazi wanatishia kufanya ugaidi marekani, hawafungiwi.

Iweje trump afungiwe, huu ni ujinga
 
Tatizo vyombo vingi vya hbr kuanzia tv,radio,social neworks n.k hamvimkubali Trump hata angefanya jambo lolote jema ..ogopa sn media za LGBT hasa CNN na the like ni wachochezi na waongo wakubwa

Mama amewapa ukweli mchungu tweeter ...binafsi nilishamgazwa na media zinazojifanya watetezi wa uhuru wa maoni kuegemea upande mmoja lkn za ushoga zikipingwa vikali inaonekana ukandamizaji wa uhuru wa maoni

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…