Kabila gani huko kenya lenye matatizo ya 'l' na 'r'.Wakikuyu tatizo lao ni 'dh' na 'th'. Thelathini wanasema dheladhini.
Wakamba tatizo lao ni 'd' na 'b', dada wanasema ndada na obey wanasemaga ombey.
Kisii, Luo, Luya sijui sana matatizo yao ya lugha.
I see! thanks.Sisi Wakikuyu ndio huwa tuna matatizo ya L na R, Lete tunasema Rete na Lala tunasema Rara
Waluhya K na G, Ugali anaita Ukali
Wajaluo SH na S, Shida anaita Sida
>>wee..nidoona kùría ùkaga gushambia rùrírí««nafaham wewe ni mkenya kutokana na id yako..naomba ufafanuzi kwa haya mkuu..ni hivi,kuna mshikaji wangu ambaye amenitumia huo ujumbe ila sing'amui chochoteHehehehe! Halafu uolewe kijijini kwetu ndio utakoma maana watu wa kabila langu wana matatizo sana kwenye matumizi au tofauti za L na R.
>>wee..nidoona kùría ùkaga gushambia rùrírí««nafaham wewe ni mkenya kutokana na id yako..naomba ufafanuzi kwa haya mkuu..ni hivi,kuna mshikaji wangu ambaye amenitumia huo ujumbe ila sing'amui chochote