Kanumba: Hollywood Nao Walonga!

Kanumba: Hollywood Nao Walonga!

hapo ndipo mipango ya binadamu ya MUNGU inapotofautiana
 
R.I.P SCK
Huyu Richards amekuwa kwenye Movies kwa muda gani? anafananisha actor na musician. mi naona ni bora hata angesema Kanumba ni Denzel Washington wa Bongo au Richard Gere wa Bongo.
Sasa SCK na MJ?
I doubt kuhusu hii habari but I m not sure.
 
Kanumba didn't realize how a potential and a quality he was. I wonder why he was fooling around with Lulu, which was the begining of his end. Anyway R.I.P bro
 
Kifo kinauma sana, na maumivu yake hayazoeleki.

R i p kanumba
 
Hivi Africa ina Hollywood yake? au ni ile ile ya USA?
 
kilichomuua kanumba anajua Lulu Na mwenyezi mungu, hainingii akilini kua ni kifo cha mungu. Nchi ambazo wananchi wana njaa na rushwa iliyokithiri, kila kitu kinawezekana. Uwezo wako wa kutoa dau ndio muhimu. Unaweza kutengeneza kila kitu kwa pesa yako, kuanzia report za hospitali mpaka kesi mahahamani, everything is possible.


THEY?


Alikufa kwenye harakati zake za uzinzi, period!
 
sitaki kuamini kama Kanumba alikua na uhusiano wa kimapenzi na LULU, iweje magazeti ya udaku ambayo ndio kutwa yako mgongoni wa ma star wa Tanzania wasilijue hili. Iweje tujue haya baada ya Kanumba kufa? Hayo mahusiano yalianza lini? Iweje siku ya kesi ya Lulu, kutokee ubabaishaji wa waandishi kuambiwa wapi kesi itafanyika? wengi walijua kesi itafanyika kinondoni wakasubiri huko, lakini haikua hivyo kesi ikasomwa kwa kificho Kisutu. Kwani Lulu ndio mtu wa kwanza Tanzania kuhusishwa na mauaji? iweje afichwe hata waandishi wa habari washindwe kupata picha.
Leo tunaambiwa Lulu ametimiza miala 17 April, before Kanumba's death she was 16! 2 or 3 weeks kabla ya kifo cha Kanumba, Lulu alikua kwenye kipindi cha mikasi na kudai SHE'S ONLY 18. Hao wazazi, kwa nini hawakukanusha kua ni muongo ana miaka 16! iweje leo baada ya kukutwa na masahibu ndio baba na mama wanajitokeza na kutetea kua mtoto wao ni under age? Halima Mdee anadai kaona cheti chake cha kuzaliwa. Ukiwa na pesa hata hicho cheti kinatengenezwa. Mtoto wa Babu Seya alihukumiwa maisha akiwa na umri wa 17. Watu walilia sana lakini hakuna aliyesikiliza, alikaa jela 4-5 year if I remember well. akatoka baada ya kushinda rufaa. Lulu ni nani, mpaka serikali iingilie kati. Eti ni mtoto mdongo, utoto wake uko wapi?
Wakati anangonoka na mizee mjini wazazi walikua kimya. sasa mambo yamekua makubwa ndio wanajua ni mtoto!
Kifo cha Kanumba kina pazia nyuma yake, lakini with time ukweli utajulikana tu.
kama ni watu wenye wivu na chuki binafsi, tutajua.

Kanumba didn't realize how a potential and a quality he was. I wonder why he was fooling around with Lulu, which was the begining of his end. Anyway R.I.P bro
 
Uncle J.J tunakumiss sana mzazi!dah!mpaka leo naona kama ndoto!hivi ni kweli kanumba haupo nasi?!!!!!nasahau kama umetutoka ila akili ikinijia nashindwa kujizuia kulia!dah.....
 
Hivi Africa ina Hollywood yake? au ni ile ile ya USA?

ingia google search bleeding sunshine..steven kanumba ndio utaelewa..ingepigwa in 4 countries including USA na DOP ni chase bowman ambaye ndiye the best DOP in hollywood, character ya kanumba ilikuwa ni photographer.
 
sitaki kuamini kama Kanumba alikua na uhusiano wa kimapenzi na LULU, iweje magazeti ya udaku ambayo ndio kutwa yako mgongoni wa ma star wa Tanzania wasilijue hili. Iweje tujue haya baada ya Kanumba kufa? Hayo mahusiano yalianza lini? Iweje siku ya kesi ya Lulu, kutokee ubabaishaji wa waandishi kuambiwa wapi kesi itafanyika? wengi walijua kesi itafanyika kinondoni wakasubiri huko, lakini haikua hivyo kesi ikasomwa kwa kificho Kisutu. Kwani Lulu ndio mtu wa kwanza Tanzania kuhusishwa na mauaji? iweje afichwe hata waandishi wa habari washindwe kupata picha.
Leo tunaambiwa Lulu ametimiza miala 17 April, before Kanumba's death she was 16! 2 or 3 weeks kabla ya kifo cha Kanumba, Lulu alikua kwenye kipindi cha mikasi na kudai SHE'S ONLY 18. Hao wazazi, kwa nini hawakukanusha kua ni muongo ana miaka 16! iweje leo baada ya kukutwa na masahibu ndio baba na mama wanajitokeza na kutetea kua mtoto wao ni under age? Halima Mdee anadai kaona cheti chake cha kuzaliwa. Ukiwa na pesa hata hicho cheti kinatengenezwa. Mtoto wa Babu Seya alihukumiwa maisha akiwa na umri wa 17. Watu walilia sana lakini hakuna aliyesikiliza, alikaa jela 4-5 year if I remember well. akatoka baada ya kushinda rufaa. Lulu ni nani, mpaka serikali iingilie kati. Eti ni mtoto mdongo, utoto wake uko wapi?
Wakati anangonoka na mizee mjini wazazi walikua kimya. sasa mambo yamekua makubwa ndio wanajua ni mtoto!
Kifo cha Kanumba kina pazia nyuma yake, lakini with time ukweli utajulikana tu.
kama ni watu wenye wivu na chuki binafsi, tutajua.

Dada umenena!
 
could hav been much better 1000x if s.k faced his death while doing anything other than prostitution!
 
source: kanumba: Hollywood speaks out

kanumba-top.jpg



dar es salaam. A hollywood executive has spoken about fallen soap star steven kanumba and for the first time gave inner details of projects that the tanzanian actor had bagged before he met his tragic end.

In an exclusive communique with the citizen’s ‘beat’ magazine, the executive – prince richards -- who is based in miami, florida, revealed kanumba died some 10 hours after signing a two-year contract that could lead him to international stardom.

He said the actor had won a lead role in two hollywood made feature films and another ghana-east africa film that would have kept him away from the country for the remainder of the year while on cast. This would have turned him into a millionaire.

“i am proud to have been able to help him in his quest to achieve greatness in the international film arena. I am saddened that we were just scratching the surface before he was called “home”. I write in tears just imagining the possibilities. I miss him dearly, i wish we had more time,” wrote mr richard in an email to the citizen.
Other than moonlighting for hollywood, mr richard who is a us citizen of ghanian origin also works as an executive for a major multinational company.

He spotted kanumba’s talent during the zanzibar international film festival (ziff) in 2010 where bongo movies were shown for the first time, and through ‘the beat’ which wrote about the festival, contacted the actor.

The late kanumba and two other tanzanian actresses were later invited for successful auditions in ghana late last year. The two women, ms rose ndauka and ms lucy komba, were already in accra and according to a travel itinerary reproduced in ‘the beat’ (page 20) were to be joined yesterday (thursday 12th) by kanumba to start work on one of the three films.

According to mr richard, the trailer of the hollywood film, ‘bleeding sunshine’ featuring at least four prominent us actors was released on monday, a day to the burial of kanumba. The citizen today carries an exclusive shot from the trailer and when it was being made.

“the hollywood trailer is out but sadly he’ll never get to see it. I was waiting for him to arrive in accra to enable us hold the formal screening,” a devastated richard wrote. He, however, noted that this particular film would unfortunately carry on without a tanzanian involved.

He explained that even though their plans for the other two films, one of which kanumba was the lead actor have been thrown into disarray, they will also be completed after a recast to find a replacement. Earlier travel arrangements for kanumba indicate he should have left the country as early as march 30 but he wanted to first complete the shooting of ‘ndoa yangu’ which will now be released posthumously for his local audience.

Kanumba was also set to fly to san francisco to attend the city’s 2012 film festival and negotiate the inclusion of bongo movies in next year’s festival.

The hollywood executive said kanumba was pleasant to work with and had overcome back-stabbing to succeed and live his dreams.

“kanumba has contributed immensely to uplifting the image of bongo movies and tanzania than anyone has done in recent times. He loved his fans, his friends and his family. He even loved those who hated him for his achievements. We are bombarded by condolences of grieving fans across the world who are still stunned by this loss. He was the michael jackson of bongo movies,” wrote mr richard.

kwa taarifa tu prince richard aliyejiita hollywood executive ni mghana ambaye alikuwa meneja wa kanumba. Kwenye fb anijiita prince akiem, sijajua kwanini aidha alijiita hollywood executive au magazeti yaliamua kumuita hollywood executive
 
kwa taarifa tu prince richard aliyejiita hollywood executive ni mghana ambaye alikuwa meneja wa kanumba. Kwenye fb anijiita prince akiem, sijajua kwanini aidha alijiita hollywood executive au magazeti yaliamua kumuita hollywood executive

you are very right and it is so fortunate ( labda unfortunately kwako )kwamba connection zake sio za kitoto..ndio maana pia watu kama AMA AMEBREBESE akaweza kufanya movie na hollywood stars inaitwa sinking sand..so brother was going to the next level ingawa inaonekana bado una mu hate marehemu..ila stay blessed na punguza negativities
 
Ten hours after the hefty contract! The guy was in the middle of a celebration. We do this all the time. I did it every time after passing my UE, after a promising interview etc. Probably the celebration went awry, with a Jack Daniels as it is so claimed, anything could happen. It is just so sad.
 
R.I.P SCK
Huyu Richards amekuwa kwenye Movies kwa muda gani? anafananisha actor na musician. mi naona ni bora hata angesema Kanumba ni Denzel Washington wa Bongo au Richard Gere wa Bongo.
Sasa SCK na MJ?
I doubt kuhusu hii habari but I m not sure.

Ukisema Denzel najisikia raha sana. I love this actor.
 
angalia marehemu ungeacha uzinzi ulikuwa na ndoto nzuri sana za mafanikio
 
Jaman hebu somen wazo la da Asia kwan yule mtt wa babu seya sialihukumiwa na miaka yake 17, sasa mbona hawa wanaosema wataingilia kati ishu ya lulu hawakuingilia ile? Mpaka viongoz kwel? Lulu amewapa nn, kwli walimwengu shujaa, nakumbu usemi usemao ku..ny anye kuku akin..ny bata kaharisha huyo.
 
Back
Top Bottom