Kanumba kutafuta mtoto wa 'chupa' kuna ashiria nini?

analeta umodel kitandani............,
naona jamaa ana wivu kwelkwel na jamaa wamejichana vibaya KUKUZ zake ndio mana kaamua kutoka kiivyo,we kanumba komaa we unakua kama mtoto wa mama vicheche wa kibongo wanakushinda?huyu mda si mrefu tutamuona uwanjani KAFULIA kama wenzake,ukimuona mtu anauza story za kishambashamba ujue tayari hana nyimbo
 

wewe huoni tatizo hapo, we ni anglikana nini?
mwanamume rijali kabisa kutwa uko kwenye mikorogo an kujipodoa?

mkuu hapo tatizo lipo, kama anataka mtoto kwa mbegu zake kwa nini asisukume nyama akaweka kitu, kama hawezi bac kunatatizo ndio maana anazikusanya zikiwa za kutosha ndio anazikamua na kuzitumbukiza kunako
 
Duh Bongonians walivyokuwa wakali utadhani wao ndio wanamlisha, baadhi ya great thinkers [sinkers] wanaishia kujadiliana "eti atakuwa haiwezi shughuli" WTF?
 
hii imeniboa kweli kweli ka umaarufu kidogo inakuwa tabu
 
Duh Bongonians walivyokuwa wakali utadhani wao ndio wanamlisha, baadhi ya great thinkers [sinkers] wanaishia kujadiliana "eti atakuwa haiwezi shughuli" WTF?
To hell you feeble minded!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…