tarehe
mon sep 07, 11:06:00 pm, mtoa maoni:
anonymous
jamani mbona wa tz hamjiamini? Kwani inglishi ni nini?
Kwa mtu kama kanumba aliye soma jitegee or sijui makongo kwa ujielezaji alio jieleza juzi ni kajitahidi sana , kwakweli nampa hongera sana ka kusingatia inglish ni lugha ya pili na hajasoma hivyo viji accademy vyenu.
Kujua kingereza kama second language ni kitu kiumu haswa unapo sima lugha ukiwa ume shapita miaka 15 , ina bidi uwe mdadisi zaidi ili uweze kuimaster lugha mpya .
Wengi wetu hatuwezi kuwa fluent in inglish sababu shule tulizo soma tume soma kingereza tukiwa akubwa , pale tunapo ingia secondari, elimu ya msingi kwa kingereza peke ni ngumu sana kuweza ku ongea lugha iyo, wengi tuna uwezo mkubwa wa kuisikia ila kuiongea ni ngumu.
Nashnidwa kuwaelewa kanini mnaona ni jambo la aibu kutojua kingereza , mbona mshiriki wa angola alikuwa ana vunja kiingereza vibaya sana na mbaka richard alikuwa ana mcheka live ,lakini hatukusema kitu .
Hongera kanumba , wewe ni a victim wa mfumo wa elimu wa tanzania , sio kosa lako.