Kanuna eti kisa hajapishwa siti ya daladala akae na mwanae

Kanuna eti kisa hajapishwa siti ya daladala akae na mwanae

Toka nimpishe mzee tandika akaniibia elf 60 yangu ya ada niliweka mfuko wa nyuma wa suruali,na nimetoka kuomba kwa ndugu maana wazazi walishatangulia mbele ya haki mwaka 2009 hiyo nakaribia kupiga pepa ya form 6, niliapa sitkuja kumpisha kiumbe yoyote kwenye daladala labda mke wangu akiwa na mtoto wangu
Pole mkuu, wanasema wema akiba, lkn wema ulikuletea janga kubwa
 
Toka nimpishe mzee tandika akaniibia elf 60 yangu ya ada niliweka mfuko wa nyuma wa suruali,na nimetoka kuomba kwa ndugu maana wazazi walishatangulia mbele ya haki mwaka 2009 hiyo nakaribia kupiga pepa ya form 6, niliapa sitkuja kumpisha kiumbe yoyote kwenye daladala labda mke wangu akiwa na mtoto wangu
Unaushaidi yeye ndiye aliyekubia [emoji38][emoji28][emoji1787][emoji23]
 
Nilikuwa natoka kijijini kuelekea mjini,kijiji cha pili kabla ya kufika mjini akapanda mdada mjamzito tumbo kubwa anaelekea hospital kabeba na mabeseni begi nk,

Sasa gari ilikuwa imejaa hatari,konda akamwambia mkaka mmoja asimame ampishe mjamzito,,,aisee yule mkaka aligoma katu[emoji23],,,konda akamwambia mkaka asimame atapewa nusu nauli yake,lakini aligoma[emoji23][emoji23]

Wanaume siku hizi hawana huruma,sijui tumewakosea nini.
 
Kuwapa tu watu dhambi ndogo ndogo, siku moja yalinikuta nimepanda coaster alafu nyumba kuna kama coaster nne ivi zimepaki zinasubiriana kupakia. Ile niliyopanda ikajaa ikawa inataka kuondoka stand akaja mdada na mwanae mdogo mgongoni akapanda ile coaster akasimama pembeni yangu ilhali anaona kabisa zile zingine zilizokuwa chini pale jirani niliyekaa naye akamwambia mbona utateseka sana na mtoto zile pia zinaenda hajajibu. Mie kimya nikainamia siti kabisa earphone maskioni kidogo ananiamsha dada nisaidie kupakata mtoto nikamwambia mlete mtoto akaanza kilio hataki watu nilimpisha akakaa na mwanae ila alinikera mnoo.
Huu ujinga siupendagi,ilishawahi nitokea G,mboto to mbezi nilisimama,yule mmama akaniambia nmpakate mtoto,mtoto hanitaki analia balaa,ikanibidi nisimame nimpishe, asubuhi saa 11 hivi nawahi gari stendi ya magu,

Tunashuka daladala akaniuliza unaelekea wapi unisaidie mtoto? Nikamwambia nisamehe tu mwenyewe nina begi na muda ushaenda inanibidi nikimbie[emoji23],,,,,kidogo niachwe na selous.
 
mwingine anasimama karibu yako kaelekeza tako lake kwako,anajamba kila wakati...aisee lazima umpishe akae yy ...
 
Ndio maana mm nikipanda daladala nataka kukaa mbele ya deleva au dirishani nikikosa nakaa happy kalibu af najiranya nimelala kumbe wapi [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuwapa tu watu dhambi ndogo ndogo, siku moja yalinikuta nimepanda coaster alafu nyumba kuna kama coaster nne ivi zimepaki zinasubiriana kupakia. Ile niliyopanda ikajaa ikawa inataka kuondoka stand akaja mdada na mwanae mdogo mgongoni akapanda ile coaster akasimama pembeni yangu ilhali anaona kabisa zile zingine zilizokuwa chini pale jirani niliyekaa naye akamwambia mbona utateseka sana na mtoto zile pia zinaenda hajajibu. Mie kimya nikainamia siti kabisa earphone maskioni kidogo ananiamsha dada nisaidie kupakata mtoto nikamwambia mlete mtoto akaanza kilio hataki watu nilimpisha akakaa na mwanae ila alinikera mnoo.
Ww ungemtolea povu mpka Babu yake mtoto anafufuka uku amesimama wima
 
Back
Top Bottom