1)KANUNI YA NENO LA KUPENDEZA
Usipitishe siku nzima bila kutamka neno la kupendeza na la kukumbukwa na mwenzio.
2)KANUNI YA NENO "NIMEFURAHI KUKUONA"
Usikutane na mwenzio bila kumkaribisha kwa kauli ya upendo
3)KANUNI YA KUTAWALA HASIRA
Usiwe mwepesi wa kukasirika
4)KANUNI YA KUDHIBITI ULIMI
Usiongee kwa sauti kubwa na mwenzio
5)KANUNI YA UWAJIBIKAJI
Usiruhusu swali lirudiwe
6)KANUNI YA UTII
Wapenzi wawili mko sawa. Ni mameneja wawili ambao kila mmoja ana majukumu yake.
7)KANUNI YA UKARIMU
Usifanye jambo kwa gharama za wengine
8)KANUNI YA KUZIKA MAKOSA
Usifufue makosa labda kama yanajirudia mara kwa mara.
9)KANUNI YA USAFI WA MAMBO
Siri ya furaha iko kwenye kusahau yaliyopita na kuanza kila siku na mambo safi
10)KANUNI YA MUUNGANO WA THAMANI
Muda wote ukiwa na nafasi kaa na mwezi wako.
Usipitishe siku nzima bila kutamka neno la kupendeza na la kukumbukwa na mwenzio.
2)KANUNI YA NENO "NIMEFURAHI KUKUONA"
Usikutane na mwenzio bila kumkaribisha kwa kauli ya upendo
3)KANUNI YA KUTAWALA HASIRA
Usiwe mwepesi wa kukasirika
4)KANUNI YA KUDHIBITI ULIMI
Usiongee kwa sauti kubwa na mwenzio
5)KANUNI YA UWAJIBIKAJI
Usiruhusu swali lirudiwe
6)KANUNI YA UTII
Wapenzi wawili mko sawa. Ni mameneja wawili ambao kila mmoja ana majukumu yake.
7)KANUNI YA UKARIMU
Usifanye jambo kwa gharama za wengine
8)KANUNI YA KUZIKA MAKOSA
Usifufue makosa labda kama yanajirudia mara kwa mara.
9)KANUNI YA USAFI WA MAMBO
Siri ya furaha iko kwenye kusahau yaliyopita na kuanza kila siku na mambo safi
10)KANUNI YA MUUNGANO WA THAMANI
Muda wote ukiwa na nafasi kaa na mwezi wako.