Kanuni ya 10%: Jitahidi uishi

NAKAZIA
 
Hiyo ni topic ingine,

Tutakuja na thread ya namna ya kuwatambua wa Kweli na wa UONGO!!
Ila wengi ni WAONGO na ni wezi. Mmoja wao ni yule aliyeiba Mke wa Mtu kule Kaskazini
 
Mzee wa kabobo! Man of the people
 
Ila wengi ni WAONGO na ni wezi. Mmoja wao ni yule aliyeiba Mke wa Mtu kule Kaskazini
Ukithibitisha Kiongozi wa kiimani ana TABIA ya kuzini na waumini,

Au ukiona kiongozi wako ndotoni anazini,

Kimbia , toroka huko haraka sana, ni WA UONGO.
 
Ukithibitisha Kiongozi wa kiimani ana TABIA ya kuzini na waumini,

Au ukiona kiongozi wako ndotoni anazini,

Kimbia , toroka huko haraka sana, ni WA UONGO.
But TAFSIRI ya ndoto ni fumbo.. unaweza kuota KIFO kumbe tafsiri yake ni KUPANDA kwa Cheo.

Je kumuona mtu anafanya mapenzi ndotoni maana yake ni hivyo hivyo.?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wizo niwacheeeee puliiiiizzz
Nacheka mpk machozi khaaaaaaa [emoji119]
Bro angu anakupatia sana inaelekea
Wizo Bro wako anayaweza jamani, sio kwa hili sebene analonipa mpaka mtoto wa kike nashika adabu khaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…