Kanuni ya 10%: Jitahidi uishi

Kanuni ya 10%: Jitahidi uishi

Yani starehe iwe 10% tena? Huku inatakiwa kuwa angalau 30%.
Ukipata 100,000 20% weka akiba 50 fanya matumizi na maendeleo 30% kula raha.
30% ni nyingi sana.. kwenye starehe.

Imagine unapokea 1m then 300k yote unaipeleka kitambaa
 
Kwa hiyo nikilipwa mshahara wangu wa laki 5 na thalathini, nitenge kama elfu 50 hivi niende sinza Mori pale nitafute huduma ya full body massage. Nikitoka pale kama nimezaliwa upya vilee
 
Kwa hiyo nikilipwa mshahara wangu wa laki 5 na thalathini, nitenge kama elfu 50 hivi niende sinza Mori pale nitafute huduma ya full body massage. Nikitoka pale kama nimezaliwa upya vilee
Yeaah.. sasa hutakiw kuimaliza hela yote hiyo 10% kwa mara moja.. ingawa ni sawa pia.

Just tenga 10k kale vzr sehemu.

Chukua 30k katafune vile vikuku vya kienyeji pale SINZA.

chukua 10k nyingine vuta kilimanjaro zako hapo zishindilie.. ukalale.
 
Hii rule ipo kwenye nyanja 5;
1. Kibinafsi
2. Kifamilia
3. Kiimani
4. Kikazi
5. Kimahusiano

Naomba nizungumzie kwa upande wa Kibinafsi na Kiimani.

Sisi binadamu tumekuja Duniani kuishi na kumuabudu Mwenyezi Mungu. Basi tujitahidi katika kuishi Tuishi kweli kweli na katika Kuabudu tuabudu Kwelikweli, 10 percent rule inataka hivyo.

Mimi binafsi kwa kila hela inayoingia natenga 10% ya kufarahia maisha (Starehe). Natenga 10% kwa ajili ya Sadaka na mambo ya kijamii, ambayo kiimani inaitwa Fungu la Kumi. 80% zingine nazielekeza katika mambo mengine ambayo sitayaweka wazi.

Nakushauri kama kijana mpambanaji kila hela unayopata basi tenga 20% pembeni. Ambayo 10% inaenda katika starehe na 10% inaenda katika Sadaka na Jamii. Hela yoyote upatayo iwe kihalali au kwa wizi hii rule itakusaidia sana.

Nakuasa kuanzia leo tekeleza 10% percent rule, watu wengi wanafariki/kufa bila kuishi maisha. Just enjoy maisha, tenga 10℅ kwa kila kipato chako kufurahia maisha hapa Duniani.

Haujui siku yako ya kufa utaacha hela nyingi (labda) watu watagombania na kuzitawanya. Muda huo wewe hujazifaidi hela zako. Faidi hela zako kabla haujafa, kifo kipo anytime.

Ukipata 100,000 tenga 10,000 ya starehe, tenga 10,000 nyingine ya Sadaka.

Ikumbukwe sadaka sio lazima uipeleke Msikitini au Kanisani, unaweza mpa mtu yeyote ambae unahisi itamsaidia kwa lolote. Faida yake ni kubwa kuliko hicho kidogo ulichotoa.

Kuna watu wanafanya kazi mpaka wanakufa hawajawahi kuishi.
Nimekuelewa vizuri sana ndugu yangu, kwamba inatakiwa tuishi kweli kweli siyo muda wote tunawaza tu
 
Hii Ingekuwa kweli basi walokole wangekuwa matajiri sana...

Unatoa zaka 60% kwa hawa mitume na manabii hawa wa mwendokasi hawa? Labda [emoji16][emoji16][emoji16]
Hawatoi ndomana Si matajiri,

Au wanatoa Kwa manabii wa UONGO wenye madhabahu ya shetani,

Ukitoa Kwa Nabii wa uongo Kila kitu kitakufa,

Maana kuzimu au kaburini hakuna uhai kule.
 
Hawatoi ndomana Si matajiri,

Au wanatoa Kwa manabii wa UONGO wenye madhabahu ya shetani,

Ukitoa Kwa Nabii wa uongo Kila kitu kitakufa,

Maana kuzimu au kaburini hakuna uhai kule.
Yupi wa UKWELI yupi wa UONGO???
 
Back
Top Bottom